Nimekata tamaa na soko la nguo hapa bongo, Wale mnaonunua online tunaombeni mtupe uzoefu wenu tupate nguo zenye ubora

Nimekata tamaa na soko la nguo hapa bongo, Wale mnaonunua online tunaombeni mtupe uzoefu wenu tupate nguo zenye ubora

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Habari zenu wakuu, hapa bongo soko la nguo kuna baadhi yetu lishatutoa knock out, unaweza kwepa midosho ya elf 15 ukaenda kwenye duka la cadet za elf 40 ukazani hapa ndio penyewe kumbe mambo yale yale tu, ukifua mara mbili tatu ishakuwa bwanga, pindo hohe hahe, rangi imechuja.

Sasa basi mimi nimeona katika dunia ya sasa internet imetufanya tuwe kama kijiji especially kwenye mambo ya biashara za kuagizo vitu online.

Ni masoko gani ya mitandaoni mazuri ya kuagiza nguo, tuchukue tagadhari zipi, kwa wale wenye bajeti za kawaida tunapataje nguo quality, n.k.
 
Habari zenu wakuu, hapa bongo soko la nguo kuna baadhi yetu lishatutoa knock out, unaweza kwepa midosho ya elf 15 ukaenda kwenye duka la cadet za elf 40 ukazani hapa ndio penyewe kumbe mambo yale yale tu, ukifua mara mbili tatu ishakuwa bwanga, pindo hohe hahe, rangi imechuja.

Sasa basi mimi nimeona katika dunia ya sasa internet imetufanya tuwe kama kijiji especially kwenye mambo ya biashara za kuagizo vitu online.

Ni masoko gani ya mitandaoni mazuri ya kuagiza nguo, tuchukue tagadhari zipi, kwa wale wenye bajeti za kawaida tunapataje nguo quality, n.k.
nenda mtaa wa jamhuri kuna maduka 3 ya wahindi wana nguo class ya juu,utafurahi
 
Habari zenu wakuu, hapa bongo soko la nguo kuna baadhi yetu lishatutoa knock out, unaweza kwepa midosho ya elf 15 ukaenda kwenye duka la cadet za elf 40 ukazani hapa ndio penyewe kumbe mambo yale yale tu, ukifua mara mbili tatu ishakuwa bwanga, pindo hohe hahe, rangi imechuja.

Sasa basi mimi nimeona katika dunia ya sasa internet imetufanya tuwe kama kijiji especially kwenye mambo ya biashara za kuagizo vitu online.

Ni masoko gani ya mitandaoni mazuri ya kuagiza nguo, tuchukue tagadhari zipi, kwa wale wenye bajeti za kawaida tunapataje nguo quality, n.k.
Nunua Chambuu, around 20k unapata nguo nzuri tafuta duka kama Aziz house of jeans ama lifananialo.

Chambuu ni Ngua mtumba ambazo hazijavaliwa.
 
Back
Top Bottom