Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mumeo inabidi awe karibu sana na wewe....Mimba inakuchanganya iyo.Nimekata tamaa ndoa inatesa sana,
Nyumban hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8... Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka???
Tatizo wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wakishapata watoto wanasahau kuwa kuna mume na matatizo ndipo yanapoanzia hapo!Pole kwa magumu, ila kwa nn waliopo kwenye ndoa ndio wanaolia sana na mapenzi na wadada wengi sana utamani sana ndoa
Mshana Jr Intelligent businessman njoo hapo muanze kumfariji mpendwa katika bwanaKwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8... Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka???
Wanatangaza na wanajiua kweli wasiposhauriwa vyema.Anaetaka kujiua huwa anatangaza?
The way utalibeba jambo wewe ni tofauti na mwingine, si ajabu yeye pesa haipi kipaumbele kama wewe ufanyavyo.Yaani ujiue kwasababu ya mwanaume au sijaelewa?
Tatizo lako ni moja...huna kazi ya kufanya , huna hela. Tatua kwanza hilo tatizo halafu uone kama utalialia tena.
Pole sana mkuu ni mapito tu yatapita hayatobakia milele kwa hio sio lazima mpaka ujiue ndio matatizo yaishe unajiua unaongeza tatizo kwa watoto kuishi bila kua na mama ni tatizo lingine, pole sana mkuu weka namba yako ya simu nikuingizie chochote cha kukusaidia ili usijiueYaani ujiue kwasababu ya mwanaume au sijaelewa?
Tatizo lako ni moja...huna kazi ya kufanya , huna hela. Tatua kwanza hilo tatizo halafu uone kama utalialia tena.
Polee usifikirie magumu peke yake kuna mengi mazur omba amani ya moyoNimekata tamaa ndoa inatesa sana,
Nyumban hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8... Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka???
Naelewa vizuri haya mambo. Naamini sijakosea sanaThe way utalibeba jambo wewe ni tofauti na mwingine, si ajabu yeye pesa haipi kipaumbele kama wewe ufanyavyo.
Pole ndugu yangu baba mwwnye mimba yupo wapi??Nimekata tamaa ndoa inatesa sana,
Nyumban hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8... Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka???
Usikate tamaa ndugu zako tupo. Njoo pmNimekata tamaa ndoa inatesa sana,
Nyumban hakuna mtu baba alishafariki, mama ni mgonjwa kapata stroke yupo kwa ndugu anatibiwa.
Kwangu kunawaka moto, hapa nipo Mjamzito miez 8... Nawaza usiku silali natamani nijiondoe tu duniani nawaza ninawatoto 2 nawaacha wapi ambapo watanisahau kwa haraka???
Weka namba tukuchaangie mkuu itakufariji angalau namba ya simu namba ya akaunti ya bank, fanya hivyo chapAsante
Sio lazima awe na pesa ila ajikeep busy kwa kitu chochote kitachompa furaha kusahau hayo madhira.Naelewa vizuri haya mambo. Naamini sijakosea sana
Dkt. Gwajima DNaenda kwa rafiki nan na tumbo, na mtoto wa 3yrs, na mwingine miaka 10 anasoma
Inategemeana na mentality ya mtu na yupo hatua gani ya maumivu,wanao chukua maauzi ni wale wamefika hatua ya mwisho, wametafuta mdaada lakini hawakusaikaAnaetaka kujiua huwa anatangaza?