DOKEZO Nimekata tiketi VIP basi la Happy Nation, lakini halina huduma hadhi ya VIP. Naweza kulalamika wapi?

DOKEZO Nimekata tiketi VIP basi la Happy Nation, lakini halina huduma hadhi ya VIP. Naweza kulalamika wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Biashara ya mabasi ni biashara ya kitapeli sana.

Enzi zile kuna darlux wakawa wanasema gari ina wifi hivyo watu wakawa wanalipishwa bei ya luxury ila ukiingia ndani kila siku mtaambiwa kwamba kifaa cha wifi kina matatizo.

Mbaya zaidi wakawa kama unatokea dar wanaenda kusimama kwenye kihoteli kimoja kiko bahi, mshikaji wangu alikula pale wali aliharisha nusu afe.

Vile nilikua mteja wao siku moja nikawaambia huu Uswahili wenu ipo siku hii kampuni itakufa, kweli Uswahili ukaiua darlux.

Maisha yamebadilika kidogo sasa long safari yoyote kama sijaenda na gari binafsi basi ni flight tu. Mabadi ni waswahili sana.
Utapeli ni biashara kubwa na halali kabisa Tanzania.

Na nchi hii ni FAILED STATE. Mambo yanaendeshwa kwa CONNECTION, NETWORKING na LOBBYING.

Watu wa Mabus Wana Wana watu bungeni kwaajili ya kutetea mambo yao.


Biashara ya Bus - Shabiby, Tabasamu


Betting - Abbas Tarimba


Watoto wa vigogo na wake zao - Salima Kikwete.

Vituo vya Mafuta - Tabasamu


Wale wasio na watu wa kuwasemea huko nuu ndio WANAPIGIKA
 
Nlikatiwa hizi bus busines clas nikakutana na bus ngalangala nlianza safari saa9 usiku ilipofika saa4 mabasi ya saa12 yote yakatupita dom nlifika saa11badala ya saa7
😂😂😂😂 kama nakuona ulivyofura kwa hasira huku unatukana na kujiona fala. Sema mabasi yanakera mno 😂😂😂
 
Kuna bus niliwahi kupanda 2019 kutokea Tanga kwenda DSM sikumbuki jina lake ila nadiriki kusema at least hilo bus lilikuwa na hadhi ya u VIP, kwanza seats in 2 by 1, seat very comfortable na zina nafasi ya kutosha kunyoosha miguu, nili enjoy sana safari. Lilikua linatokea Mombasa > Tanga > DSM
Tahmeed wanajitahidi Kwa upande wa Mombasa,Dar,Arusha,Nairobi gari nzr ila yale yanayotoka Malaba kwenda Mombasa mabaya ya zamani
 
Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.

Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?

View attachment 2861202

Nijulishe na namba yake tafadhali.
Wapigie latra, mtarudishiwa nauli

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
 
Biashara ya mabasi ni biashara ya kitapeli sana.

Enzi zile kuna darlux wakawa wanasema gari ina wifi hivyo watu wakawa wanalipishwa bei ya luxury ila ukiingia ndani kila siku mtaambiwa kwamba kifaa cha wifi kina matatizo.

Mbaya zaidi wakawa kama unatokea dar wanaenda kusimama kwenye kihoteli kimoja kiko bahi, mshikaji wangu alikula pale wali aliharisha nusu afe.

Vile nilikua mteja wao siku moja nikawaambia huu Uswahili wenu ipo siku hii kampuni itakufa, kweli Uswahili ukaiua darlux.

Maisha yamebadilika kidogo sasa long safari yoyote kama sijaenda na gari binafsi basi ni flight tu. Mabadi ni waswahili sana.
The next AN classic soon wata angukia pua dsm to mpanda walikuwa na gari nzur San pamba Kuna hizi mbili nyeupe zina waangusha nauli Wana toza VIP huduma uozoo hakuna USB charger kufanya kazi , gari njiani kuharibika haribika shida tupu wahudumu Wana kwambia USB zimepiga shoti waya gari Ina piga route daily in short waji tathimin
 
Back
Top Bottom