DOKEZO Nimekata tiketi VIP basi la Happy Nation, lakini halina huduma hadhi ya VIP. Naweza kulalamika wapi?

DOKEZO Nimekata tiketi VIP basi la Happy Nation, lakini halina huduma hadhi ya VIP. Naweza kulalamika wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Si peleka malalamiko yako mahakamani, ytafyta mawakili wawa sue kwa kudanganya watu.
 
Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.

Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?

View attachment 2861202

Nijulishe na namba yake tafadhali.
Huwzi kufanikiwa.
Inaonyesha VIP ni 150,000, sasa wewe umepewa punguzo na kuwa 120,000 kwasababu uliyoipanda sio VIP.

Hicho kipengele cha bei kwenye tiketi kitakuvua nguo, kausha tu
 
Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.

Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?

View attachment 2861202

Nijulishe na namba yake tafadhali.
Chukulia poa na bei wamekupunguzia
Screenshot%202024-01-03%20214659.jpg
 
Kuna bus niliwahi kupanda 2019 kutokea Tanga kwenda DSM sikumbuki jina lake ila nadiriki kusema at least hilo bus lilikuwa na hadhi ya u VIP, kwanza seats in 2 by 1, seat very comfortable na zina nafasi ya kutosha kunyoosha miguu, nili enjoy sana safari. Lilikua linatokea Mombasa > Tanga > DSM
Itakuwa Tahmeed hiyo.
 
Bongo hamna Luxury bus inatakiwa mamlaka husika wazuie hizi kampuni kuita bus zao VIP na VVIP zilizopo ni Ordinary na semi Luxury tena semi Luxury ni chache sana
Sahihi, hakuna tofauti ya Ordinary, semi luxury, VIP wala VVIP. Ukianza na nafasi ya miguu tu katika siti gari zote hiyo nafasi ni sawa na kuna nyingine zinazoitwa za VIP nafasi ni ndogo kuliko hata Ordinary, LATRA wakomeshe huu uhuni.
 
Kwa mujibu wa LATRA, HAKUNA basi ambalo ni LUXURY Tanzania hii. Ndio maana hata nauli wametoa za ORDINARY na SEMI LUXURY na zote kwa nauli ya Bukoba - Dar hazifiki shilingi 100,000/=. Hapo umepigwa na kama unajua kutetea haki zako nenda Ofisi za LATRA zilizo jirani pamoja na tiketi yako UKAKIWASHE!!
 
Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.

Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?

View attachment 2861202

Nijulishe na namba yake tafadhali.
Wengine tunaamua kupiga kimya,ila kiu kweli biashara nyingi hapa nchini customer care is almost negligible.
Naona hawa nao tutawahama kama tulivyowahama frester.
 
Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.

Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?

View attachment 2861202

Nijulishe na namba yake tafadhali.
DAR EXPRESS NENDA KAWALALAMIKIE
 
Back
Top Bottom