The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Hili ndio swali ulipaswa kuuliza toka mwanzo sio kuleta hadithi zako za uarabu ama uzungu zisizo na maana yoyote.Ukiacha hizo tabia unakua mtu gani? Ni swali rahisi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio swali ulipaswa kuuliza toka mwanzo sio kuleta hadithi zako za uarabu ama uzungu zisizo na maana yoyote.Ukiacha hizo tabia unakua mtu gani? Ni swali rahisi tu.
Huwzi kufanikiwa.Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.
Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?
View attachment 2861202
Nijulishe na namba yake tafadhali.
Chukulia poa na bei wamekupunguziaNimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.
Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?
View attachment 2861202
Nijulishe na namba yake tafadhali.
Itakuwa Tahmeed hiyo.Kuna bus niliwahi kupanda 2019 kutokea Tanga kwenda DSM sikumbuki jina lake ila nadiriki kusema at least hilo bus lilikuwa na hadhi ya u VIP, kwanza seats in 2 by 1, seat very comfortable na zina nafasi ya kutosha kunyoosha miguu, nili enjoy sana safari. Lilikua linatokea Mombasa > Tanga > DSM
Ally's wajingaUsinikumbushe ya allys Juzi nilivimba miguu balaa
Sahihi, hakuna tofauti ya Ordinary, semi luxury, VIP wala VVIP. Ukianza na nafasi ya miguu tu katika siti gari zote hiyo nafasi ni sawa na kuna nyingine zinazoitwa za VIP nafasi ni ndogo kuliko hata Ordinary, LATRA wakomeshe huu uhuni.Bongo hamna Luxury bus inatakiwa mamlaka husika wazuie hizi kampuni kuita bus zao VIP na VVIP zilizopo ni Ordinary na semi Luxury tena semi Luxury ni chache sana
Hata kimbinyiko ya Dodoma VIP nauli kubwa lakini hakuna udambwidambwi wa kupewa ukiwa huko tofauti na kawaida.
Sijui wanawainaje wananchi?
Hili ndio swali ulipaswa kuuliza toka mwanzo sio kuleta hadithi zako za uarabu ama uzungu zisizo na maana yoyote.
Kuna modern coast la Mombasa linalopita Tanga, Shabiby na all in all RatcoBongo hamna basi VIP
Itakuwa taheemedRatco hawaendi Mombasa
Hilo swali unaweza kujijibu mwenyewe. Uliza maswali ambayo huna majibu yake ili usaidiwe.Jibu swali acha ngonjera. Ukiacha hizo tabia una upgrade kuwa mtu gani?
Hilo swali unaweza kujijibu mwenyewe. Uliza maswali ambayo huna majibu yake ili usaidiwe.
Wengine tunaamua kupiga kimya,ila kiu kweli biashara nyingi hapa nchini customer care is almost negligible.Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.
Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?
View attachment 2861202
Nijulishe na namba yake tafadhali.
DAR EXPRESS NENDA KAWALALAMIKIENimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.
Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?
View attachment 2861202
Nijulishe na namba yake tafadhali.
Acha uongo wewe, Ratco haendi Mombasa.Itakuwa ni Ratco hilo