The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Ungekaa kimya kuliko kuropoka kama huna msaada!!!!Baaasi shida ipo kwenye kabila na aina ya ticket ulokata kwa nini huwa mnapenda kujikweza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekaa kimya kuliko kuropoka kama huna msaada!!!!Baaasi shida ipo kwenye kabila na aina ya ticket ulokata kwa nini huwa mnapenda kujikweza?
[emoji23][emoji23] Mbona Wamasai wanabeba ng'ombe na mbuziSijawahi kuona mabasi ya maana yakienda Bukoba, sidhani kama kweli kuna mfanyabiashara yeyote anayetaka kubeba senene kwenye basi lake.
Hiyo itakua Tahmed maana ndio wana ruti ya mombasa.RATCO EXPRESS
😂 alikula mlenda wa karanga huko bahiMbaya zaidi wakawa kama unatokea dar wanaenda kusimama kwenye kihoteli kimoja kiko bahi, mshikaji wangu alikula pale wali aliharisha nusu afe.
RATCOKuna bus niliwahi kupanda 2019 kutokea Tanga kwenda DSM sikumbuki jina lake ila nadiriki kusema at least hilo bus lilikuwa na hadhi ya u VIP, kwanza seats in 2 by 1, seat very comfortable na zina nafasi ya kutosha kunyoosha miguu, nili enjoy sana safari. Lilikua linatokea Mombasa > Tanga > DSM
Ratco hawaendi mombasa uyo ni Tahmeed ndo ana 2 by 1 gar za mombasa dar na nairobi dar via ArushaRATCO
Kwa wahuni wenzao, kesi ya mamba unapeleka kwa kengePiga simu Sumatra watakusaidia ,
Mmiliki wa Tahmeed dini gani? Samahani lakiniRatco hawaendi mombasa uyo ni Tahmeed ndo ana 2 by 1 gar za mombasa dar na nairobi dar via Arusha
Islam.. maan n waarabu waleMmiliki wa Tahmeed dini gani? Samahani lakini
Ndo maana ana utu na amekataa dhulma. Takbiir!Islam.. maan n waarabu wale
bm dar moro aliwahi kuwa nayoSijui kwanini wanatoza bei za luxury, hili suala lina baraka ya sumatra na mamlaka zote nchini.
Bongo sidhani kama kuna luxury, naona kuna semi luxury na "kajamba nan" tu.
Hapa ukitumia kigezo cha mmiliki ni dini gani haitaleta maana, kwakua hata Happy Nation ni muislam lakini mbona hajawa muadilifu kama Tahmeed.Ndo maana ana utu na amekataa dhulma. Takbiir!
ametoa maelezo.sahihi swala la yeye kuwa na namba sio lazmaSumatra! Iko wapi hiyo, msaidie usimpotoshe kama haujui liache lipite kwani hata namba ya simu hauijui.
Sema wahuni, Uswahili sio dhambi. Ni waswahili pekee wanatumia neno mswahili kama tusi. Huu ujinga haupo kwenye race nyingine yeyote ile Duniani. Race zingine zote wanajiona wao ni superior huku waswahili mnawatukana wenzenu kwa kuwaita waswahili.
Mimi sio Mswahili, kuzaliwa bongo sio lazima uwe mswahili. Kuna utamaduni kabisa wa Kiswahili. Kuna watu wanazaliwa bongo hawajuhi hata Kiswahili wala utamaduni wa Kiswahili.Wewe mbongo uliyezaliwa TZ sio mswahili? Sawa na mzungu kukataa yeye sio Caucasian.
Hiyo gari iliua rafiki yangu ruth pale singida sina hamu nalo hata nikiliona linapita namuona ruth wetu kalala kwenye jeneza.Usinikumbushe ya allys Juzi nilivimba miguu balaa