cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sogea had mfaranyaki. Huko Liizaboni mbaliii.Unakuja lini nikupokee hapa lizabon
Au njoo majengo leo tupande Longi ipenga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sogea had mfaranyaki. Huko Liizaboni mbaliii.Unakuja lini nikupokee hapa lizabon
Mleta mada mpare mbahili kutoa hela kama nini
Kama takataka wanazoa wewe shida yako nini? Wangekuwa hawazoi au hawalindi hapo ndipo ilingekuwa shida
Mleta mada usigombane na serikali ya mtaa bure
Nilibishana na wakusanya kodi ya taka na ulinzi shirikishi. Tena walikua mbaba na mmama, had mmama akasema mtoto mbishi wee.
Nilimjibu pesa yangu itatoka kihalali, na huo uhalali uwe halisi.
Sitakii utanii kabisaa, khaaaaah
Buku 5 tu ..toa
Hawa jamaa wanadai pesa na usiku huwasikii wakifanya ulinzi wowote.
Hapo jiandae, wanaenda kutafuta vibaka waje kukuibia. Hii ndio trend yao.
Mbona tumekuletea umeikataa na kusema haisomeki vizuri na imeandikwa kwa kiinglish?
NB;Hivi,DSM mkikatiwa risiti za makaratasi za EFD huoni kwamba mji wote utajaa uchafu wa makaratasi na kufunika anga lote?Tii mamlaka,mpe Kaizari yaliyo ya Kaizari.
Changamoto yenu mkipewa control number mnachelewa sana kulipa hadi wanashindwa kumlipa mkusanya takataka.Mwishowe mnaanza kuwananga kwamba kazi imewashinda.Lipa huduma iendelee kuwa sustainable/uendelevu wenye tija.Watoe control number kama NI hivyo
Maeneo mengi kama huku kwetu watu wa taka wanatoa risit za efd
Kupitia watu wao/kandarasi zao
Ila watu wa ulinzi shirikishi bado wako kihuni huni tu
Ova
Nakuja.Sogea had mfaranyaki. Huko Liizaboni mbaliii.
Au njoo majengo leo tupande Longi ipenga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em sema kweliii? Hapo kwa Ruhuwiko hunt Club umepatiaa na kutishaa sanaaa!!Nakuja.
Ila napenda nikupeleke Ruhuwiko hunter club.
Si ndiyo vipimo vya kamba hivyo!Unakula kwa madaha kuuzunguka mduara wako.Upigaji ni mwingi sana
ukienda chooni stand hz kubwa ni shilling 300 tu lakin wanakupa risiti ya EFD.Mtasababisha tozo iwe juu zaidi badala ya 5000 iwe 10000 kufidia gharama kutoka risiti.
Inasikitisha sanaSi ndiyo vipimo vya kamba hivyo!Unakula kwa madaha kuuzunguka mduara wako.
Kila mwezi huwa nalipa 2000, ya uzoaji Taka, sababu kazi wanayofanya inaonekana, kila wiki hupita na gari lao kukusanya taka.Nimeletewa barua ya serikali za mitaa ikiwa na wito WA kutaka niende ofisi za serikali za mitaa.
Kisa na mkasa NI kugoma kulipa Pesa ya taka na ulinzi àmbayo haizidi elfu Tano. Yàani taka 3,000/= ulinzi 2000/=