Nimekidhi vigezo kuitwa "Shangazi"

Wewe umedandia basi ambalo hujui linakoenda! Sifa mojawapo ya kuitwa "lishangazi" lazima awe anajitosheleza kifedha! Lishangazi ni kama jike dume ndo linakugharamia wewe ulitimizie haja zake za ngono.
 
Lishangazi ni shangazi fulani wa hovyo hovyo,
Shangazi ni dada/mdogo wake kaka.

MSAHANGAZI ndio huo haswaaa, sasa kama alikuita lishangazi alikukosea adabu.
Wengi hawajajua tofauti kati ya "shangazi" na "lishangazi/mshangazi". Hiyo ya pili ni kwa ajili ya kumlidhisha kingono huku akikulipa!
 
Wewe umedandia basi ambalo hujui linakoenda! Sifa mojawapo ya kuitwa "lishangazi" lazima awe anajitosheleza kifedha! Lishangazi ni kama jike dume ndo linakugharamia wewe ulitimizie haja zake za ngono.
Haya ndy madhara ya kubana haja muda mrefu aisee,,

-Mshangazi ni mwanamke over 30.
-Lazima awe na kitambi
-awe anajishughulisha Wala ahitaji umtumie nauli.

Hivi nani kakwambia kama mshangazi ahongwi?
 
Haya ndy madhara ya kubana haja muda mrefu aisee,,

-Mshangazi ni mwanamke over 30.
-Lazima awe na kitambi
-awe anajishughulisha Wala ahitaji umtumie nauli.

Hivi nani kakwambia kama mshangazi ahongwi?
Kama una hela ya kuchezea basi mpelekee hilo lishangazi! Nani asiyetaka hela? Na mwanaume anayejielewa lishangazi la nini?
 
Kama una hela ya kuchezea basi mpelekee hilo lishangazi! Nani asiyetaka hela? Na mwanaume anayejielewa lishangazi la nini?
Sio mwanaume anayejielewa sema mvulana anayejielewa shangazi wa nn?
Wewe umri wako wa 24 shangazi wa kazi gn?
 
Sikomi bebiiii na mimi nataka kujaribu huo moto ninaosikia mnapelekewagaπŸ”₯πŸ”₯🀀, hawa wazee wenzangu wenye visukari nimechoka πŸ€¦πŸ½β€β™€οΈ
Daaah tutaolewa kwel wajameni 😒nyie mbona vijana wenu mliachiwa mkaolewa,, mtuhurumie basi mweeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…