Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Wewe umedandia basi ambalo hujui linakoenda! Sifa mojawapo ya kuitwa "lishangazi" lazima awe anajitosheleza kifedha! Lishangazi ni kama jike dume ndo linakugharamia wewe ulitimizie haja zake za ngono.-Kama bado unakula nauli ukitumiwa uje ghetto basi huna sifa ya mshangazi,,
- kama bado Kila ikipangwa ahadi uje ghetto unasingizia baba yupo home huna nafasi ya kutoka basi huna sifa ya mshangazi.
Mshangazi ukimuhitaji muda wowote anakuja ghetto .
- kama bado unaibania bania papuchi ukiwa 6Γ6 basi huna sifa ya mshangazi,
Mshangazi unakula hadi kusaza hakuna nimechoka nipumzike.
Wengi hawajajua tofauti kati ya "shangazi" na "lishangazi/mshangazi". Hiyo ya pili ni kwa ajili ya kumlidhisha kingono huku akikulipa!Lishangazi ni shangazi fulani wa hovyo hovyo,
Shangazi ni dada/mdogo wake kaka.
MSAHANGAZI ndio huo haswaaa, sasa kama alikuita lishangazi alikukosea adabu.
Duhhh asee weee unanifaaaHiyo ni exclusive so inategemea nimekupendaje na size yako pia π !
Aisee..Hakuna bei, sitaki hela, nataka π¦π¦π₯
Mambo yanakuwa π₯π₯π₯Kweli mkuu lishangazi liwe na ukimwi mkimaaliza show lina natafuta kopo lake la ARV linameza mbele yako.
Haya ndy madhara ya kubana haja muda mrefu aisee,,Wewe umedandia basi ambalo hujui linakoenda! Sifa mojawapo ya kuitwa "lishangazi" lazima awe anajitosheleza kifedha! Lishangazi ni kama jike dume ndo linakugharamia wewe ulitimizie haja zake za ngono.
Kama una hela ya kuchezea basi mpelekee hilo lishangazi! Nani asiyetaka hela? Na mwanaume anayejielewa lishangazi la nini?Haya ndy madhara ya kubana haja muda mrefu aisee,,
-Mshangazi ni mwanamke over 30.
-Lazima awe na kitambi
-awe anajishughulisha Wala ahitaji umtumie nauli.
Hivi nani kakwambia kama mshangazi ahongwi?
Sio mwanaume anayejielewa sema mvulana anayejielewa shangazi wa nn?Kama una hela ya kuchezea basi mpelekee hilo lishangazi! Nani asiyetaka hela? Na mwanaume anayejielewa lishangazi la nini?
πUzito huo sina ila Tak π lipo la kutosha π
Daaah tutaolewa kwel wajameni π’nyie mbona vijana wenu mliachiwa mkaolewa,, mtuhurumie basi mweeeeSikomi bebiiii na mimi nataka kujaribu huo moto ninaosikia mnapelekewagaπ₯π₯π€€, hawa wazee wenzangu wenye visukari nimechoka π€¦π½ββοΈ
Baki namimiiiiiiNaenda kuchukua goma
Tatizo mizinga yako sio rafikiBaki namimiiiiii
We kijana jana si ndo nmekutumia helaππ³Tatizo mizinga yako sio rafiki
Wanaume tumebaki wachache, si unaona mishangazi kwa sasa inakuja kwa vitendo?We kijana jana si ndo nmekutumia helaππ³
Tupo chini ya miguu yenu wajameniWanaume tumebaki wachache, si unaona mishangazi kwa sasa inakuja kwa vitendo?
Usije kuwa bichwa unatuchezea akili hapa πΉπΉHiyo ni exclusive so inategemea nimekupendaje na size yako pia π !
Hapo ushatuma email halafu umekuja kujiosha kijana wa 2000 πΉπΉJitathmini kama una uzito uliokithiri kisha chukua hatua kuilinda afya yako.
ππ ebu nitumie buku hapo angalau niweze upata pepsiiTupo chini ya miguu yenu wajameni
Njoo uchukue geto kuna Pepsi nyingi kwelππ ebu nitumie buku hapo angalau niweze upata pepsii