Nimekidhi vigezo kuitwa "Shangazi"

Nimekidhi vigezo kuitwa "Shangazi"

Vijana wanatuma maombi ya penzi la mshangazi utafikiri ajira

Kuna mwamba anajitambulisha "wako kijana mahiri"

Taifa linapitia kipindi kigumu sana ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Nikajua mzee wa kupambania na wewe umejitosa kwa mshangazi ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Wee waache hawajui km Trump kaanza kukiwasha huko..!! Ss hivi hakuna cha PEP wala Guardiora ๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ
Hizo EIARAVII box watazipata kwa 120 Usd
 
Asanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la โ€œshangaziโ€.

Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao, nini nijiandae nacho na kuwa makini?

Mwenye kutaka kutupa karata yake:
shangazimambo@gmail.com
(vijana wa 2000 tu) ๐Ÿ˜… ukianiandikia โ€œHiโ€ instead of kujitambulisha na kuniambia why unanifaa - nakublock.

REJEA ๐Ÿ‘‡
Leo nimeitwa lishangazi, sijui nifurahie au nisikitike
Unafaa Kwa matumizi yote muhimu ya kibinadamu
 
Asanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la โ€œshangaziโ€.

Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao, nini nijiandae nacho na kuwa makini?

Mwenye kutaka kutupa karata yake:
shangazimambo@gmail.com
(vijana wa 2000 tu) ๐Ÿ˜… ukianiandikia โ€œHiโ€ instead of kujitambulisha na kuniambia why unanifaa - nakublock.

REJEA ๐Ÿ‘‡
Leo nimeitwa lishangazi, sijui nifurahie au nisikitike
Soma email
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น mshtue na best yako Balqior aje apambanie kombe la MSHANGAZII
Mimi sipendagi mishangazi, napendaga vibinti vya 2000, chuchu saa sita, nyuma kumeshamiri ๐Ÿ˜‹ Lamomy
1737281936152.jpg

Screenshot_20241126-185437.jpg
 
Back
Top Bottom