Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada mnabebishana na bando langu 😥😹🥰🥰🥰Aaaauuhh unajua kunituliza wewe
Naomba nikubebee pochi 😜Leo Toroka uje tuikaribishe weekend yetu safiiii😍
Dada mbona una mkosi, mashem wote wanavizia mbususu za bure 😹😹😹🤣🤣🤣🤣baby umeona urushe kete?kwani wewe ni millennium baby?
Iwapo ungekidhi vya kuitwa Bibi,je ungetupa mrejesho?Asanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la “shangazi”.
Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao, nini nijiandae nacho na kuwa makini?
Mwenye kutaka kutupa karata yake:
shangazimambo@gmail.com
(vijana wa 2000 tu) 😅 ukianiandikia “Hi” instead of kujitambulisha na kuniambia why unanifaa - nakublock.
REJEA 👇
Leo nimeitwa lishangazi, sijui nifurahie au nisikitike
Itabidi ni ji upgrade😂😂😂itakuwa nimechukua cheap labourDada mbona una mkosi, mashem wote wanavizia mbususu za bure 😹😹😹
Ili ulipuke uingiejf live kuleta mrejesho kutoka Toroka uje?😅😅😅Dada mbona una mkosi, mashem wote wanavizia mbususu za bure 😹😹😹
Siwezi ntakunywa bathi ntakunywa thoda 😹Ili ulipuke uingiejf live kuleta mrejesho kutoka Toroka uje?😅😅😅
😹😹😹 Shem T nilikuwa namuona wa maana kumbe nae katuma email yake 🤣Itabidi ni ji upgrade😂😂😂itakuwa nimechukua cheap labour
Nimekumic pia mlongo, ni majukumu yamebanaa.Nimekumiss mlongo wangu umepoa sana kwema?
Watu weusi wana udumavu wa akili UNESCO,2018Email nyingi, mchuano mkali, kuwa mpole nitakufikia! View attachment 3219008
Mr nobby Usitukane mamba kabla haujauvuka mto. Nenda kasome status tena baada ya wiki 1 ujikumbushe kile "cheo" chako 😂 😆 .Shangazi umejoin jf 2011 Mimi nilikua darasa la nne lkn status yako bado inasoma. *member "
Mimi juzi tu nimejoin humu sahizi ni Senior member.
Nimekuzid cheo😆
Fungua pm ili upokee mrejeshoAsanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la “shangazi”.
Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao, nini nijiandae nacho na kuwa makini?
REJEA 👇
Leo nimeitwa lishangazi, sijui nifurahie au nisikitike
Nimefurahi kujibu Tena text hii😂😂 shangazi umepanda vyeo viwili kwa mpigo😀 saa hii nakupigia salute.😀Mr nobby Usitukane mamba kabla haujauvuka mto.
Nenda kasome status tena baada ya wiki 1 ujikumbushe kile "cheo" chako 😂 😆 .
Mkongwe ni mkongwe tu kijana wangu wa darasa la nne 2011.
Sema Nini turudi kule Gmail😃Mr nobby Usitukane mamba kabla haujauvuka mto. Nenda kasome status tena baada ya wiki 1 ujikumbushe kile "cheo" chako 😂 😆 .
Mkongwe ni mkongwe tu kijana wangu wa darasa la nne 2011.
Mr nobby Usitukane mamba kabla haujauvuka mto. Nenda kasome status tena baada ya wiki 1 ujikumbushe kile "cheo" chako 😂 😆 .
Mkongwe ni mkongwe tu kijana wangu wa darasa la nne 2011.
Sasa sisi mashangazi wenye wanaume wenye visukari, bao moja la sekunde 40 kwa mwezi, tukoShangazi ni mwanamke aliyevuka umri wa usichana kuanzia miaka 30+ ni shangazi.
Ila vijana wa kudate na mashangazi wanaharibu hiyo sio tabia njema ni mmomonyoko wa maadili, ivyo si jambo jema.
na nani?Si mlisema mtakuwa kwenye shida na raha.Sasa sisi mashangazi wenye wanaume wenye visukari, bao moja la sekunde 40 kwa mwezi, tukona nani?