pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 282
- 561
Aisee nilipata dharula nikakopa kwenye moja ya hizi app siku ya marejesho, sikuwa na kiasi husika. Walichokifanya wamegawa namba zangu kwa watu hata siwafahamu kwa siku, napigiwa simu hata Mia na watu tofauti.
Kisha wamewapigia ndugu zangu wa karibu waliopo kwenye contact list yangu.
Dah nimeamua liwalo na liwe maana wanasema watapost NIDA yangu mitandaoni na kuuambia umma kuwa mimi ni mhalifu hatari wa mtandao.
Msaada wa mawazo, kwa sasa nakunywa sana pombe kali ili kupunguza mawazo ila pombe ikiisha tatizo bado linabaki palepale
Kisha wamewapigia ndugu zangu wa karibu waliopo kwenye contact list yangu.
Dah nimeamua liwalo na liwe maana wanasema watapost NIDA yangu mitandaoni na kuuambia umma kuwa mimi ni mhalifu hatari wa mtandao.
Msaada wa mawazo, kwa sasa nakunywa sana pombe kali ili kupunguza mawazo ila pombe ikiisha tatizo bado linabaki palepale