Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukopa na kuto lipa deni ni kukosea sana.nakushauri ukikopa ujue utakavyolipa piaAisee nilipata dharula nikakopa kwenye moja ya hizi app siku ya marejesho sikuwa na kiasi husika walichokifanya wamegawa namba zangu kwa watu hata siwafahamu kwa siku napigiwa simu hata Mia na watu tofauti kisha wamewapigia ndugu zangu wa karibu waliopo kwenye contact list yangu....dah nimeamua liwalo na liwe maana wanasema watapost nida yangu mitandaoni na kuuwambia umma kuwa mimi ni muhalifu hatari wa mtandao....msaada wa mawazo, kwa sasa nakunywa sana pombe kali ili kupunguza mawazo ila pombe ikiisha tatizo bado linabaki palepale
Ulidownload app kwa kubofya link chini ya video?Hao jamaa ni matapeli kiwango unachoomba hupewi kilekile mfano kama umeomba laki na nusu unapewa say laki na kumi halafu zinakuja kwa mafungu mafungu labda 20k 30k 40k na 60k na kila hela itadaiwa kivyake na kampuni tofauti tofauti mwishowe wanawapa namba wale jamaa wa tuma hela kwa namba hii...najuta
Mara nyingine sajiri no mpya kisha weka wahuni wenzako wasave baba mkubwa baba mzazi,baba mkwe,Hivi vipombe ukiwa na elfu mbili unalewa vya kutosha
Sikuwa na lengo ovuMara nyingine sajiri no mpya kisha weka wahuni wenzako wasave baba mkubwa baba mzazi,baba mkwe,
mjomba. Boss yaani weka maina ya watu waheshima kisha kopa mpunga wako hela ikiingia itumie utakavyo na usilipe. kisha subiri usumbufu wao na uwaambie hizo ni za wahuni wenzangu mnapoteza muda wenu ukiona kero imezidi toa laini hakikisha nawewe ni muhuni yaani hata laini yako ulisajiri kkwa nida yako isiwe na majina ya watu muhimu.
Hao ni washamba sana mkuu. Ukitaka heshima kakope kwenye taasisi maalumu sio hawa wapuuzi huko ni kwa wahuni hao wao ni wahuni tuSikuwa na lengo ovu
Kuna jamaa wamemfanyia hivyo, walivyompigia simu akawabia "kuna SMS wametuma wenzenu, kama mnataka niwasaidie ku-edit na kuwatumia ndugu na jamaa wote". Anawaambia hawezi kuwalipa hao matapeli, hakuna tiba za kihuni hivyo.Wape muda watapoa tu hao..
Umeuliza swali au maelezo ? Elf 2 ni sawa na cuca moja lkn atleast uwe ujala tangu mchana upo utalewa vizuri 😁😁😁Hivi vipombe ukiwa na elfu mbili unalewa vya kutosha
SijaelewaKuna jamaa wamemfanyia hivyo, walivyompigia simu akawabia "kuna SMS wametuma wenzenu, kama mnataka niwasaidie ku-edit na kuwatumia ndugu na jamaa wote". Anawaambia hawezi kuwalipa hao matapeli, hakuna tiba za kihuni hivyo.
Na kweli jamaa anadaiwa kabla.