pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 282
- 561
Wape muda watapoa tu hao..Aisee nilipata dharula nikakopa kwenye moja ya hizi app siku ya marejesho sikuwa na kiasi husika walichokifanya wamegawa namba zangu kwa watu hata siwafahamu kwa siku napigiwa simu hata Mia na watu tofauti kisha wamewapigia ndugu zangu wa karibu waliopo kwenye contact list yangu....dah nimeamua liwalo na liwe maana wanasema watapost nida yangu mitandaoni na kuuwambia umma kuwa mimi ni muhalifu hatari wa mtandao....msaada wa mawazo, kwa sasa nakunywa sana pombe kali ili kupunguza mawazo ila pombe ikiisha tatizo bado linabaki palepale
Unafanya makosa sana badala ya kulipa deni unatumia pesa inayoweza kupunguza deni ukaamua kuleweaAisee nilipata dharula nikakopa kwenye moja ya hizi app siku ya marejesho sikuwa na kiasi husika walichokifanya wamegawa namba zangu kwa watu hata siwafahamu kwa siku napigiwa simu hata Mia na watu tofauti kisha wamewapigia ndugu zangu wa karibu waliopo kwenye contact list yangu....dah nimeamua liwalo na liwe maana wanasema watapost nida yangu mitandaoni na kuuwambia umma kuwa mimi ni muhalifu hatari wa mtandao....msaada wa mawazo, kwa sasa nakunywa sana pombe kali ili kupunguza mawazo ila pombe ikiisha tatizo bado linabaki palepale
Hivi vipombe ukiwa na elfu mbili unalewa vya kutoshaUnafanya makosa sana badala ya kulipa deni unatumia pesa inayoweza kupunguza deni ukaamua kulewea
πππππdawa ya deni ni kulipa, wabongo acheni utapeli kwa kigezo cha kukopa.
inatakiwa wapost ata iyo NIDA yako humu jukwaani ili tukutambue