Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #21
Pole sana kijana wangu
Shukran wazee wenzangu, nikiri tu nimekomaDuh aiseee pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana kijana wangu
Shukran wazee wenzangu, nikiri tu nimekomaDuh aiseee pole
🤣🤣🤣🤣Pole jamani mara nyingi vya bei rahisi vina tu-costHali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Huyu ni wa kishua sana. Anajua supu ya ukweli hahahaha au mishaki ya mapupu na mapafuWatu tunakula supu ya ngozi mbagara pilpil nyingi na miogo alafu fureshiiiiii tu......
Hebu taja hiyo location ili nihakiki kuwa hii sio C Jabba.Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie".
Pilau limetangazwa kwenye spika 😹Hali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Hahahahaha. Amekopa kwenye simuYani uliishiwa Hadi nauli ila ukatoa 32 elfu ya kulipia Hospitali.
Uliitolea wapi akati uliishiwa kabisa ?.
Hongera Sana Kamanda.
Hii Kama Sio Chai hii.Hahahahaha. Amekopa kwenye simu
Unaishi wapi wewe?Kwa hali ilivyo bado kuna wanaouza msosi buku darasalama?
Pilau uswahilin ndo bei yake mpaka buku jero. Mm leo nimeona buku kamili nikasema siliachi mana hii ni promotion😀 😀 😀 @kalaga baho mkuu hilo pilau umekula wapi mana siku hizi pilau ni bei ya 5 elfu kwa jinsi ulivolisifia ila pole sana.
Nimetoa pesa ya mkopo nmb mshiko fastaYani uliishiwa Hadi nauli ila ukatoa 32 elfu ya kulipia Hospitali.
Uliitolea wapi akati uliishiwa kabisa ?.
Hongera Sana Kamanda.
Asante ABJ🤣🤣🤣🤣Pole jamani mara nyingi vya bei rahisi vina tu-cost