Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachumbari inawezekan masalo. Juisi ya miwa usafi wake levo ile inaelewekaga si ya kuharisha japo sio usafi unaoridhishaKachumbari na sharubati (juice) ya miwa ni hatari Sana kwa afya ya mlaji.
Hivyo havipikwi kupata magonjwa ya tumbo nje nje dakika 10 tu.
Hilo pila kama pilau huenda lilikuwa salama na safi.
Nilikula mtaan,kumbe huwa yakibak,kesho yanachemshwa tenaUliyatolea wap
Kama bado umeendekeza na kiss zile za kubadilishana mate bado uko kwenye hati hati za kuumwa tena ila hongera kwa kuikimbia njia moja wapo inayosababisha ugonjwa kuenezwa.Nilikua kipenzi cha mishikaki ya mia mia. Kwa siku nilikua nakula mishikaki 10 - 20.
Niliugua Hpylori, nilitumia zaidi ya laki 5 kwenye matibabu.
Toka kipindi hicho ninaishi na usemi "cheap is expensive".
Sili vitu hovyohovyo barabarani.
Wanasema tamaa mbele,mauti nyuma.Hali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Utanambia siku na Mimi ukirudi ili niwe referee.Pilau limepikiwq rosti la minyanya pembeni na nyama moja imechomwa flani hivi.. nikipata nafuu narudi tena
Waniue tu
Kuna jamaa wanauzaga pilau jioni pale zakiem, kila siku linaabaki na wao wapo tu hawafilsiki. Itakuwa wanaliunga tenaNilikula mtaan,kumbe huwa yakibak,kesho yanachemshwa tena
Haina noma mkuu mm naishi mazingira hayo.Utanambia siku na Mimi ukirudi ili niwe referee.
Sometimes huwa napitaga hapo mabucha ya SAMAKI nasikiaga 🔊 pilau buku..
Nimesikia fununu fununu za uwepo wa cholera endemic eruption disease 🌋 in the city.
Hapooo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu tunakula supu ya ngozi mbagara pilpil nyingi na miogo alafu fureshiiiiii tu......
Mkeo alikuwa songea mkutanoni auHali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
MkurangaUnaishi wapi wewe?
Huo ugali wa buku si unakula kumaliza ila sio kushiba.Zipo mkuu zunguka ujionee. Ugali mm nakulaga wa buku tu na una mboga nne. Nahisi anapata faida kama 200 kila sahan yule
Tatizo wewe ni mchoyo ndio maana "unaendesha" peke Yako, toa location ya Hilo chimbo ugali mboga nne buku watu waponeZipo mkuu zunguka ujionee. Ugali mm nakulaga wa buku tu na una mboga nne. Nahisi anapata faida kama 200 kila sahan yule