Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Kachumbari na sharubati (juice) ya miwa ni hatari Sana kwa afya ya mlaji.
Hivyo havipikwi kupata magonjwa ya tumbo nje nje dakika 10 tu.
Hilo pila kama pilau huenda lilikuwa salama na safi.
Kachumbari inawezekan masalo. Juisi ya miwa usafi wake levo ile inaelewekaga si ya kuharisha japo sio usafi unaoridhisha
 
Nilikua kipenzi cha mishikaki ya mia mia. Kwa siku nilikua nakula mishikaki 10 - 20.

Niliugua Hpylori, nilitumia zaidi ya laki 5 kwenye matibabu.

Toka kipindi hicho ninaishi na usemi "cheap is expensive".

Sili vitu hovyohovyo barabarani.
Kama bado umeendekeza na kiss zile za kubadilishana mate bado uko kwenye hati hati za kuumwa tena ila hongera kwa kuikimbia njia moja wapo inayosababisha ugonjwa kuenezwa.
 
Hali hii leo mbona kazi ipo!

Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.

Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.

Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea

Dua zenu wazee
Wanasema tamaa mbele,mauti nyuma.
 
Pilau limepikiwq rosti la minyanya pembeni na nyama moja imechomwa flani hivi.. nikipata nafuu narudi tena

Waniue tu
Utanambia siku na Mimi ukirudi ili niwe referee.

Sometimes huwa napitaga hapo mabucha ya SAMAKI nasikiaga 🔊 pilau buku..

Nimesikia fununu fununu za uwepo wa cholera endemic eruption disease 🌋 in the city.
 
Hali hii leo mbona kazi ipo!

Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.

Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.

Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea

Dua zenu wazee
Mkeo alikuwa songea mkutanoni au
 
Back
Top Bottom