Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

😀 😀 😀 @kalaga baho mkuu hilo pilau umekula wapi mana siku hizi pilau ni bei ya 5 elfu kwa jinsi ulivolisifia ila pole sana.
 
Yani uliishiwa Hadi nauli ila ukatoa 32 elfu ya kulipia Hospitali.
Uliitolea wapi akati uliishiwa kabisa ?.
Hongera Sana Kamanda.
 
🤣🤣🤣🤣Pole jamani mara nyingi vya bei rahisi vina tu-cost
 
Pole sana Mkuu

Kuna wakati niliwahi kuugua tumbo la namna hiyo baada ya kunywa juicy kwenye Mgahawa Fulani hapo Masaki

Kutokea Siku hiyo, nimekuwa mwoga sana wa juicy.
 
Pilau limetangazwa kwenye spika 😹

Pole sana mkuu.....
 
Siku zote ogopa saana kujiweka cheap huku unahonga ghali katika maisha yangu nina kanuni mbili popote nilipo nakula sehemu ya maana na kulala sehemu ya maana hasa nikiwa nasafiri
 
Shida sio hiyo pilau ni hiyo Juisi ya miwa.

Kati ya vitu siwezi kununua barabarani ni Juisi ya miwa. Ile kitu ni uchafu 85% nzi wanasagiwa sana huko
 
😀 😀 😀 @kalaga baho mkuu hilo pilau umekula wapi mana siku hizi pilau ni bei ya 5 elfu kwa jinsi ulivolisifia ila pole sana.
Pilau uswahilin ndo bei yake mpaka buku jero. Mm leo nimeona buku kamili nikasema siliachi mana hii ni promotion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…