Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #41
Na hivi pilory wanakuaje mpaka wanagandiana mwilini mana hata mm nilisumbuliwa sana na hawa kengeNilikua kipenzi cha mishikaki ya mia mia. Kwa siku nilikua nakula mishikaki 10 - 20.
Niliugua Hpylori, nilitumia zaidi ya laki 5 kwenye matibabu.
Toka kipindi hicho ninaishi na usemi "cheap is expensive".
Sili vitu hovyohovyo barabarani.
Kwa nn mkuuWewe ndie UMUGHAKA?
Masaki ya wapi? Mbona nasikia kule wanakusagia hapohapo matunda masafi, mazima kabisaPole sana Mkuu
Kuna wakati niliwahi kuugua tumbo la namna hiyo baada ya kunywa juicy kwenye Mgahawa Fulani hapo Masaki
Kutokea Siku hiyo, nimekuwa mwoga sana wa juicy.
Ukisikia rahisi ghali ndio hii sasa,pole sana mdauHali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Mbagala kanisani pale karibu na soko la zakiemHebu taja hiyo location ili nihakiki kuwa hii sio C Jabba.
Pilau limepikiwq rosti la minyanya pembeni na nyama moja imechomwa flani hivi.. nikipata nafuu narudi tenaPilau limetangazwa kwenye spika 😹
Pole sana mkuu.....
Nenda na metronidazole kabisaPilau limepikiwq rosti la minyanya pembeni na nyama moja imechomwa flani hivi.. nikipata nafuu narudi tena
Waniue tu
Nimeuliza tu.Kwa nn mkuu
UKa mpididy bila kunawa na sasa bado tunasubiri umalize drip tukiwekee catheta maana soon hata mkojo utaanza kutoka kwa jasho jingiHali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Pole sana,ungekunywa maziwa fresh tu baada ya hapo hali yote isingefikia hukoHali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Kama ni huko uliingizwa choo cha kike kwa kukimbilia pilau la buku.Mbagala kanisani pale karibu na soko la zakiem
Itakua ilikua mbagala nasikiaga speaker 🔊 zinatangaza.Hali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee
Mbagala si nimeambiwq maisha cheap mkuu. Ujue huku kitunguu hadi shilingi hamsini (50) unapataKama ni huko uliingizwa choo cha kike kwa kukimbilia pilau la buku.
Pole sana, ila ukome kufakamia msosi ya bei poa Mbagala
Uchumi hauruhusu kula vinono. Unadhani kwa aslay mihogo sipajui basiiiItakua ilikua mbagala nasikiaga speaker 🔊 zinatangaza.
Pole Sana Sanaa mkuu utapona Ila AFTER MARS utakua makini Sanaa mkuu.
Siku zoteee tambua anything cheaper Ina consequences zake ndio Kama yaliyo kukuta pole Sana bro.
GETWELL SOON BROTHER.
Kachumbari na sharubati (juice) ya miwa ni hatari Sana kwa afya ya mlaji.Nimeharakia maisha kumbe bado mtoto mdogo sana. Pilau limeungwa na nazi kila kitu na kachumbari kubwa tu. Sotojo la maana kumbe halina viwango. Najuta
Uliyatolea wapToka niharishe kwasababu ya mahindi ya kuchemsha sina hamu nayo mpaka leo
ShukranGet well soon bro