dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Sasa mkuu una kata mwezi mzima huwez nunua suppu ya buku mbilj na chapati mbili HV utanenepa KweliHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Mmh sawa
Kwahiyo ukiona haya hayatokei ndo inakuwaje?🤣
Jana nimempa mtu hizo ingridients zako na yeye akaniongezea na mchele na mbegu za maboga kanitengenezea unga mzuri.Pole
Una appetite?
Saga lishe kama ya mtoto Ile weka ulezi,korosho,mahindi, lozi na iliki
Uwe unapika uji unakunywa uweke na siagi na maziwa
Utengeneze smoothie zenye maziwa na matunda tofauti ila ndizi mbivu isikose
Kula sana ila zingatia balance diet maana unaweza ukafumuka vibaya sana
Ila pia hakikisha hela unayo maana kama huna hata ukinywa mafuta kila siku hutonenepa ng'o
Piga hata Serengeti lite mbili na wee na kiyimoto nusu kila sikuKitimoto sawa ila bia siwezi mkuu.[emoji120]
Sasa mkuu una kata mwezi mzima huwez nunua suppu ya buku mbilj na chapati mbili HV utanenepa Kweli
Ndio mkuu🙏kwanza umemshirikisha MUNGU
Piga hata Serengeti lite mbili na wee na kiyimoto nusu kila siku
Yamekua hayo🤣
Utapungua tu dear.Wakati huo huo mie nataka nipunguze kilo.
[emoji26]
Uko Huwa una njaaJana nimempa mtu hizo ingridients zako na yeye akaniongezea na mchele na mbegu za maboga kanitengenezea unga mzuri.
Jana jioni nimeupika nikaweka na maziwa fresh na ya unga kuongeza ladha yaani ni mtamu hatari 😁 halafu unanunikia vizuri sana.
Leo nishakunywa vikombe viwili na pia nahisi unaleta hamu ya kula coz leo najihisi njaa njaa tu.
una kg ngapi kwaniNdio mkuu🙏
Ikiendelea hivi mwezi haufiki narudia mwili wanguUko Huwa una njaa
49kg😭una kg ngapi kwani
kimo na umri49kg😭
watu ambao wanazingatia sana afya ndio wanakumbwaga na kashkash kama zako... ishi tu jiachie!Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
asante kwa ushauri mkuu.Kwa kimo hicho (164) ongeza, kilo 2 tu unakuwa kwenye normal bmi ya 19.
Zingatia tu lishe, fasta sana.
Barikiwa kwa ushauri mkuu ila wataalam wanashauri tusisubiri kuumwa ndo twende hosp.watu ambao wanazingatia sana afya ndio wanakumbwaga na kashkash kama zako... ishi tu jiachie!
unauzito gan na urefu ghn?Happy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
Okay pole. Severe Gastritis kwasababu ya acid inaweza kuingilia mmeng'enyo wa chakulaHayo magonjwa yote yamepona mkuu kasoro ACID REFLUX,huo ninao toka niko mtoto,hauna tiba so far. Haujawahi kunikondesha.