Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Kapime HIV kwanza.
 
Pole sana.
Ushauri achana na vikoba na mikopo ya kausha damu Kama uno humo

Pia Kama we ni kamwanamke kalevi punguza pombe au kula sana kabla ya kubugia kamunyweso.

Kingine we Kama ni mkazi wa daslam epuka kula matembele na matumbo mabichwa na magulu za kuku. Jitaidi ukule samaki wa mwanza Kama sato na kamongo yasinda nyama ndani ya mwezi tu utajua mnene Kama msechu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…