Nimekosa ajira za ualimu tena

Nimekosa ajira za ualimu tena

626bf7a612b942e685c60a963125e873.jpg
 
Ndugu zanguni nimekosa ajira tena!
Nikiamini kwa 75% kuwa Kama tumetumia namba za NIDA basi umri na mwaka wa kumaliza chuo vitanibeba lakini wapi!

Mwaka wa kuhitimu chuo kikuu 2015, umri wangu miaka 34 lakini nimepiga gape na vitoto vya mwaka 2020 na umri wa chini ya 25!
Serikali kweli walikaa na kuamua kuajiri BAED 600 seriously! Yaani kwakundi kubwa lililopo Bora ningeenda hata msingi lakini niajiriwe.

Wewe bashungwa Kama uemhusika kwenye huu mchakato Mungu akusimamie katika magumu unayopitia.

Binafsi ninakinyongo sio kwasababu nimekosa hapana ila kwasababu nimekosa kisha akapata wa mwaka 2020 ambae nae ni Sanaa Kama Mimi.

Yaani hapa mpaka tumbo linanikata kwa maumivu lakini poa tu maisha ndio haya haya.
Pole sana nakwambia tz ingekuwa kama marekani kwamba unaingia tuu duka i na kununua bastola tungeuana kinoma
 
Ndugu zanguni nimekosa ajira tena!
Nikiamini kwa 75% kuwa Kama tumetumia namba za NIDA basi umri na mwaka wa kumaliza chuo vitanibeba lakini wapi!

Mwaka wa kuhitimu chuo kikuu 2015, umri wangu miaka 34 lakini nimepiga gape na vitoto vya mwaka 2020 na umri wa chini ya 25!
Serikali kweli walikaa na kuamua kuajiri BAED 600 seriously! Yaani kwakundi kubwa lililopo Bora ningeenda hata msingi lakini niajiriwe.

Wewe bashungwa Kama uemhusika kwenye huu mchakato Mungu akusimamie katika magumu unayopitia.

Binafsi ninakinyongo sio kwasababu nimekosa hapana ila kwasababu nimekosa kisha akapata wa mwaka 2020 ambae nae ni Sanaa Kama Mimi.

Yaani hapa mpaka tumbo linanikata kwa maumivu lakini poa tu maisha ndio haya haya.
Ni wakati sasa wa kubadili mtazamo wa kuajiriwa. Karibu mtaani tupambane. Mwanzoni utapata changamoto ya kuitafuta njia ya kutokea!

Ila ukifanikiwa tu kuipata, basi maisha hugeuka kuwa mepesi sana! Tena kuliko hata hayo ya kuajiriwa.
 
Mimi nimeshangaa tu kitu kimoja hivi ukisema nafasi zimebakia na walioomba hawa kukidhi vigezo unamaanisha nini?

Je, taarifa zilizopo siyo sahihi au vyeti vilivyotumwa vina tatizo?

Kuna Course ya afya aliomba Dogo langu lakini nimeahangaa eti imechagua hapo watu 24 kati ya 200 na hizo nafasi 200 ziko wazi [emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23]

Hii nchi ni ngumu, je waliotuma walitakiwa kukidhi vigezo gani?
 
Ndugu zanguni nimekosa ajira tena!
Nikiamini kwa 75% kuwa Kama tumetumia namba za NIDA basi umri na mwaka wa kumaliza chuo vitanibeba lakini wapi!

Mwaka wa kuhitimu chuo kikuu 2015, umri wangu miaka 34 lakini nimepiga gape na vitoto vya mwaka 2020 na umri wa chini ya 25!
Serikali kweli walikaa na kuamua kuajiri BAED 600 seriously! Yaani kwakundi kubwa lililopo Bora ningeenda hata msingi lakini niajiriwe.

Wewe bashungwa Kama uemhusika kwenye huu mchakato Mungu akusimamie katika magumu unayopitia.

Binafsi ninakinyongo sio kwasababu nimekosa hapana ila kwasababu nimekosa kisha akapata wa mwaka 2020 ambae nae ni Sanaa Kama Mimi.

Yaani hapa mpaka tumbo linanikata kwa maumivu lakini poa tu maisha ndio haya haya.
Pole Sana Mzee,hapo jipange kivingine..

Mimi jamaa yangu kabahatika this time around,maana Ali Disco Mlimani kozi ya Uchumi mwaka 2012,baadae akajiunga chuo Cha ualimu akahitimu 2015 na Diploma ya masomo ya Sanaa.

Tokea amesugua bench mpaka akakata tamaa lakini nikamwambia aombe,miaka yote aliyoomba alikosa..

Leo hii nimeangalia nimeliona jina,kafurahi hadi kanywa pombe huko hasomeki..

Ila sasa namhurumia maana salary ya Diploma ni ndogo na Bodi ya mkpo itachukua chake haijalishi uli disco au laa..

Ila jamaa yangu alishaanza life lake kitambo,ana mke na watoto 2 na alishajenga nyumba ya kawaida na ana mifugo na Kazi za ufundi..

Sasa anatakiwa kuhama huku aliko na ni mjini aende kwa kina Mwigulu huko Vijijini.
 
Unataka aje kutuchamba?
Tuonee huruma Mkuu bado tuna maumivu ya kukosa ukimuita tena huyu anakuja kupigilia msumari kwenye kidonda ha!ha!
Si anajitoa tu ufahamu huyo, awachambe ilhali na yeye pia aliomba hizo Ajira....!?

Na dunia vile haijawahi kuwa Fair unakuta pamoja na kuikandia Sana kazi ya Ualimu lakini unakuta lenyewe ndio limepata
 
Back
Top Bottom