Nimekosa kazi kwa mhindi sababu nimesoma UDSM

Nimekosa kazi kwa mhindi sababu nimesoma UDSM

Wapendwa kwema?
Nilifanya interview kwa kampuni flani ya wahindi hapa mjini Dsm kwa nafasi ya umeneja mauzo,interview ilienda vyema,candidates tulikua kama 7 hivi,sisi kutoka chuo tajwa tulikua wawili.
Leo wamenitumia email kuwa hawajanichagua na sababu ya kutonichagua ni kwamba, wenzangu waliowahi kuwaajiri kutoka same college kama mimi hawana kawaida ya kudumu kwenye hiyo kampuni,nimejiuliza hii ni sababu ya kutoswa kweli au wameajili mhindi mwenzao huko so wanaleta sababu za kipuuzi kujitetea?

View attachment 2023426
Kwa ni lazima wakuajiri?Kuna rafiki yangu aliambiwa tu kwamba Amekataliwa kwa sababu Afisa Fulani kamkataa.
 
Kwa ni lazima wakuajiri?Kuna rafiki yangu aliambiwa tu kwamba Amekataliwa kwa sababu Afisa Fulani kamkataa.
Sio lazima,but hizo sababu walizozitoa ndio zimenishangaza.
 
Wala hawaitaji kulaumiwa wako sahihi maana wao ndio wanajua wanafunzi wa udsm walifanyia nini iyo kampuni.

Ni sawa na sie tunavyosema mimi siwezi kuoa au kuolewa na mtu kabila flani kulingana na tabia zao au hivi na hivi.

Sema iyo email imeandikwa kiswahili swahili, kanjibai hawai kulipa vizuri. Jipange na zingine
 
Chuo na GPA za juu ni kweli zinaweza kukukosesha kazi au kukufanya usiitwe kwenye interview kwa sababu zinakufanya utafute ajira nyingine pindi unapoonewa.

Pia wahindi na wachina ni wanyanyasaji saana pindi wanapokuajiri
 
Tatizo graduates wengi wa UDSM, mnakimbilia kwenye siasa.

Mifano Ni mingi:
[emoji117]Polepole
[emoji117]kabudi
[emoji117]Bana
[emoji117]Yule mbunge wa ubungo n.k
 
It's costly kumhire mtu, umtrain then before 2yrs anaondoka.
Muajiri anahaki hiyo. Ni kujifunza kutokana na makosa tu Hamna namna
Inakera Sana kwakweli.
Yaan unawezajihisi ulimuajiri shushushu.

Na kibaya zaidi anaondoka na utaalamu uliomtrain kwa gaharama zako kwenda kwa hasimu wako.
 
It's costly kumhire mtu, umtrain then before 2yrs anaondoka.
Muajiri anahaki hiyo. Ni kujifunza kutokana na makosa tu Hamna namna
There you are.Hata mimi ningekuwa na kampuni,and through data-trend ikaonekana hivyo ningefanya kama wao in some ways.
 
Mhindi+mchina=Upuuzi.
Ukiona hivyo elewa kuwa vijana wa udsm huwa wanawachallenge au kampuni haina mishahara ya kueleweka ndio maana watu hawadumu hapo.
Elimu ya UDSM ni ya-kipuuzi sana, Imekaaa sana kisiasa kwa tuliosoma hapo.
 
Wapendwa kwema?

Nilifanya interview kwa kampuni flani ya wahindi hapa mjini Dsm kwa nafasi ya umeneja mauzo,interview ilienda vyema,candidates tulikua kama 7 hivi,sisi kutoka chuo tajwa tulikua wawili.

Leo wamenitumia email kuwa hawajanichagua na sababu ya kutonichagua ni kwamba, wenzangu waliowahi kuwaajiri kutoka same college kama mimi hawana kawaida ya kudumu kwenye hiyo kampuni, nimejiuliza hii ni sababu ya kutoswa kweli au wameajili mhindi mwenzao huko so wanaleta sababu za kipuuzi kujitetea?


View attachment 2023426
Inasikitisha sana, Kwa nini hawakukuambia mapema usipoteze muda wako.
 
Wapendwa kwema?

Nilifanya interview kwa kampuni flani ya wahindi hapa mjini Dsm kwa nafasi ya umeneja mauzo,interview ilienda vyema,candidates tulikua kama 7 hivi,sisi kutoka chuo tajwa tulikua wawili.

Leo wamenitumia email kuwa hawajanichagua na sababu ya kutonichagua ni kwamba, wenzangu waliowahi kuwaajiri kutoka same college kama mimi hawana kawaida ya kudumu kwenye hiyo kampuni, nimejiuliza hii ni sababu ya kutoswa kweli au wameajili mhindi mwenzao huko so wanaleta sababu za kipuuzi kujitetea?


View attachment 2023426
Kabudi alisema udsm ni JALALANI. Labda wahindi hawataki product ya dampo/jalalani.
 
Aliyenena hayo kwa lugha ni profesa Nguli na mwana halisi aliyepikwa akapikika na kuibuka best student of the year in DS100 huko.

Hiiiiii bagosha!

Source: Rejea CV yake [emoji16][emoji16].
Hatari kweli kweli!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah nacheka kama mazuri vile ukiona ivo wameshafanya research zao wamegundua na huo ndio uamuzi wao kwaiyo haina budi kukubaliana nao
 
Back
Top Bottom