JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Wadau njooni hapa tufarijiane.
Huko serikali imeshaweka mazingira magumu Tena kwenye kukopa. Mimi 2018 nilichelewesha rejesho kwenye Moja wapo benki hapa nchini. Mambo ya yangu hayakwenda vizuri, nilicheleweshewa malipo sehemu, ila benki tulikuwa tunawasaliana vizuri tu.
Badae nikalipa na mda wote huo benki wamekuwa wakinipa Mkopo bila shida yoyote.
Saa wiki juzi nikaomba Mkopo, kuna watu wa Credit info wakaja na report eti Mimi sikopesheki kwa sababu nacherewesha malipo.
Serikali imetengenza hiki kitego ila hakina ufanisi kabisa.
Benki wanataka kunipa Mkopo ila Credit infor wameweka ngumu. Nami nimeagiza mzigo ukifika kabla sijapata hela basi nitakuwa na bonge la hasara.
cc. Mwigulu Nchemba.
Huko serikali imeshaweka mazingira magumu Tena kwenye kukopa. Mimi 2018 nilichelewesha rejesho kwenye Moja wapo benki hapa nchini. Mambo ya yangu hayakwenda vizuri, nilicheleweshewa malipo sehemu, ila benki tulikuwa tunawasaliana vizuri tu.
Badae nikalipa na mda wote huo benki wamekuwa wakinipa Mkopo bila shida yoyote.
Saa wiki juzi nikaomba Mkopo, kuna watu wa Credit info wakaja na report eti Mimi sikopesheki kwa sababu nacherewesha malipo.
Serikali imetengenza hiki kitego ila hakina ufanisi kabisa.
Benki wanataka kunipa Mkopo ila Credit infor wameweka ngumu. Nami nimeagiza mzigo ukifika kabla sijapata hela basi nitakuwa na bonge la hasara.
cc. Mwigulu Nchemba.