Nimekosa Mkopo benki kisa nilichelewesha rejesho mwaka 2018 kwa siku 60

Nimekosa Mkopo benki kisa nilichelewesha rejesho mwaka 2018 kwa siku 60

Huu uhuni utawanufaisha watu wasio hata na leseni ya biashara hii ya kukopesha.

Na common mwananchi atakutana na riba za ajabu.
Yeah,ni nyakati za microfinance kupiga pesa. Mabenk yataumia kwa kukosa wateja. Karibia kila mtumishi ana kamkopo aliko default kwenye simu.. nadhani hawakutafakari vyema


Jana loan officer mmoja wa CRDB alikuwa analalama kuwa wateja wake 10 ambao ni watumishi wametemwa na system baada ya ku apply mkopo kupitia Ess
 
Week mbili zilizopita nilikua nahangaika kweli kufatilia wanifutie hiyo taarifa ila nahisi ni kwa crdb tu mana nilivyoona naambiwa nitume taarifa citinfo ili wanifutie nako mzunguko tuu nikaenda Nmb chap tu nikapata

Week mbili zilizopita nilikua nahangaika kweli kufatilia wanifutie hiyo taarifa ila nahisi ni kwa crdb tu mana nilivyoona naambiwa nitume taarifa citinfo ili wanifutie nako mzunguko tuu nikaenda Nmb chap tu nikapata
Anha,kumbe ni CRDB tu nkajua benki zote. Sasa ina maana hao NMB hawana hyo taarfa yako? Au wao wameamua kupotezea tu
 
Yeah,ni nyakati za microfinance kupiga pesa. Mabenk yataumia kwa kukosa wateja. Karibia kila mtumishi ana kamkopo aliko default kwenye simu.. nadhani hawakutafakari vyema


Jana loan officer mmoja wa CRDB alikuwa analalama kuwa wateja wake 10 ambao ni watumishi wametemwa na system baada ya ku apply mkopo kupitia Ess
Mwisho wa siku wataachia tu.
 
Ofcoz,haimake sense benk wapoteze faida eti kwa sababu ya 5000 ya mpawa. Wakati wanahaha kutafuta wateja waje kukopa
Na pia serikali itapoteza kodi nyingi kutoka kwenye mabenki, hivyo lazima tu watabadili utaratibu huo(wataufuta au wataurekebisha).
 
Niko Makini sana, shida ni hao credit info. Ila benki hawana shida kabisa. Na humu nimeona wengi wanalalamikia jambo hili
Pengine kama mlikuwa hamjui, ni kwamba kuchelewesha kulipa mkopo kuna athari siku za baadae kama unataka kukopa tena.
 
Pengine kama mlikuwa hamjui, ni kwamba kuchelewesha kulipa mkopo kuna athari siku za baadae kama unataka kukopa tena.
Kwenye kukopa huwezi ukawa perfect 100%, hata benki wanalijua hili ndio maana kuna zamana. Kuchelewa ni kawaida tu mbona.

Ila wasio fanya biashara wanaona kama tunafaidi sana,kumbe ni pasua kichwa ni vile tunapambana tupate maisha. Sasa masharti ya 2018 unayaleta Leo, afu benki wenyewe wako tayari kukopesha maana wanajua biashara.
 
Naona mabenki pia yanahaha,maana wanatamani kuwakopesha watumishi lakini bahati mbaya mtumishi hakopesheki kwa sababu ya record mbaya ya kutolipa.
Hii inakuwaje maana watumishi hukatwa marejesho kwenye mshahara, maana yake mkopeshaji hupata malipo yake kabla mtumishi hajapokea mshahara
 
Back
Top Bottom