Muebrainia Halisi
Member
- Nov 24, 2018
- 48
- 224
Anha,kumbe ni CRDB tu nkajua benki zote. Sasa ina maana hao NMB hawana hyo taarfa yako? Au wao wameamua kupotezea
Crdb ndo nilikutana na hiyo changamoto,sa sijui nmb walipotezea tuu ama laa ila nilienda nmb nikawauliza kwanza kabla sijaanza process wakaniambia hiyo mpya ndo wanaisikia kwangu,ikabidi nianze kuapply kwa kujaribisha tu nikafanikiwaAnha,kumbe ni CRDB tu nkajua benki zote. Sasa ina maana hao NMB hawana hyo taarfa yako? Au wao wameamua kupotezea tu
Niko Makini sana, shida ni hao credit info. Ila benki hawana shida kabisa. Na humu nimeona wengi wanalalamikia jambo hili
Hata kama uki badili namba. Wakati unakopa lazima ulimtumia vitambulisho vyako halali kama NIDA ni lazima, vitambulisho na barua toka kazini kwako. Kama hujaajiriwa utapeleka barua ya serikali za mitaa, leseni ya biashara nk. Unachomoka vipi hapo?Mikopo ya simu na bank vinaingilianaje mkuu,na what if nikibadili namba?
dawa ya deni ni kulipa tena kwa wakatiWadau njooni hapa tufarijiane.
Huko serikali imeshaweka mazingira magumu Tena kwenye kukopa. Mimi 2018 nilichelewesha rejesho kwenye Moja wapo benki hapa nchini. Mambo ya yangu hayakwenda vizuri, nilicheleweshewa malipo sehemu, ila benki tulikuwa tunawasaliana vizuri tu.
Badae nikalipa na mda wote huo benki wamekuwa wakinipa Mkopo bila shida yoyote.
Saa wiki juzi nikaomba Mkopo, kuna watu wa Credit info wakaja na report eti Mimi sikopesheki kwa sababu nacherewesha malipo.
Serikali imetengenza hiki kitego ila hakina ufanisi kabisa.
Benki wanataka kunipa Mkopo ila Credit infor wameweka ngumu. Nami nimeagiza mzigo ukifika kabla sijapata hela basi nitakuwa na bonge la hasara.
cc. Mwigulu Nchemba.
Wakopeshaji wanajua na hata hapo Mimi nimeeleza vizuri tu. Wala sijawahi kimbia deni.dawa ya deni ni kulipa tena kwa wakati
kuna mjinga mmoja alikopa songesha akatupa line bila kulipa
akareportiwa kwenye mamlaka husika, yuko blacklisted hawezi kopa popote. kipindi hicho alikuwa chuo
alipoajiriwa hawezi kopa
tulipe madeni tena kwa wakati. kama umekwama usikimbie, mjulishe mkopeshaji wako
Hiyo Lugha ya benki ni Lugha Laini ya kukataa kukupa mikopo polite language loan denial ili ujisikie tu vizuri kidogo kumbe wanachokuambia ni kuwa mbwa Wewe Huwa hulipi mikopo hatukupi ng'ooNaona mabenki pia yanahaha,maana wanatamani kuwakopesha watumishi lakini bahati mbaya mtumishi hakopesheki kwa sababu ya record mbaya ya kutolipa. Hata ukiwa unadaiwa elf tano,, record husika ipo.
Ninacho ona benki itapoteza wateja wengi mnoo,hasa watumishi. Ni wakati wa micro finance kupiga hela