Gepard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2021
- 291
- 385
- Thread starter
- #141
Kama n ivyo mkuu nipo tayari kuolewaa Ila mwanamke asinipandie kichwani😂Bro kuolewa si kwamba unakaa ndani tu mkuu si unakuwa na kazi zako[emoji23][emoji23][emoji23]zinakuingizia hela lakini hazimshindi zile za mwenzako [emoji23][emoji23] usiogope kuolewa mzeee ni raha kwanza kunakupunguzia majukumu ya hapa na pale[emoji23][emoji23] tuolewe kwa afya mzeee[emoji23][emoji23][emoji23]