Nimekosa ujasiri kwenye hili

Nimekosa ujasiri kwenye hili

Bro kuolewa si kwamba unakaa ndani tu mkuu si unakuwa na kazi zako[emoji23][emoji23][emoji23]zinakuingizia hela lakini hazimshindi zile za mwenzako [emoji23][emoji23] usiogope kuolewa mzeee ni raha kwanza kunakupunguzia majukumu ya hapa na pale[emoji23][emoji23] tuolewe kwa afya mzeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama n ivyo mkuu nipo tayari kuolewaa Ila mwanamke asinipandie kichwani😂
 
Unapoenda site yeye anakuwa wapi?

Kwanini msiwe mnaenda pamoja, au yeye yupo busy zaidi?
Yeye Kaz yake inambana, nikiwa site anakuwa kazini, tukiwa free wote tunaenda.
 
unatuoona watheeenge mwenyew..! 😁 sema ulkuw unaonga mzigo mkubwa demu akaamua afanye ya maana! sasa remba wenzako waowe kabisa..
 
unatuoona watheeenge mwenyew..! 😁 sema ulkuw unaonga mzigo mkubwa demu akaamua afanye ya maana! sasa remba wenzako waowe kabisa..
😂😂😂 Sijawahi onga sanaa mil 5, 4 hizi n pesa za mboga ukiamua hata wewe unawezaa.
 
Kama n ivyo mkuu nipo tayari kuolewaa Ila mwanamke asinipandie kichwani[emoji23]
Kupanda kichwani ni wewe tu utakavyojiposition kwake kifikra tu wengi wetu tuna kuwa na mawazo kwamba kisa mwanamke anakipato kuliko wewe basi akifanya kitu kidogo tu unasema ananidharau kisa ana hela kunizidi kumbe wala ni fikra tu tulizo nazo wakati ukizidi kuonyesha upendo pale wala hakuna kitu kama icho pamoja na kuondoa izo dhana
 
Back
Top Bottom