Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo mwenye confidence hapo🤝 😂 ndio nahisi nakwamaa bossWatu wanachemka hapo tu, mwanamke akikupenda hata amiliki ghorofa 3 kariakoo we ndio unakuwa final say...Only when you have confidence enough to handle her! Atakusikiliza kuliko mtu yeyote 😂😂😂 watu sijui mnakwama wapi yani unaanzaje kumtetemekea manzi!
Siku Ukiondolewa Humo Bag Lako Ndiyo La Kwanza Kutupwa NjePia akumbuke huyo ni mpenzi wake tu sio Mkewe.
Hivyo hicho kiwanja na Nyumba inayojengwa ni ya mwanamke.
🔥🔥😂 Kwelii mkuu ila naamini sanaa gegedo langu halijawahi kunilet down
😂😂 sawaa mkuu Ila Juz kati nlimkaza mbaya hadi akawa anataka kunipa hati ya kiwanjaaHamishia mabegi ila uombe demu asiwe na akili za shilole tu 😂😂😂 maana utafurumushwa kwa aibu humo hutaamini aheri uhamie kutoka geto kwako uwe unakuja usiku kumkaza tu
Ila si mwanaume anatakiwa kujiongezaa?nikizungumzia hati saiv ataniogopa mana ndio mwez wa 5 huu😅Kama unataka kushiriki ujenzi muandike majina yenu otherwise kitakuwa ni kiherehere kuchangia ujenzi usiokuhusu na wala hujaombwa kuchangia
Apo tulia usiongee kitu afu kwenda site kusiamie mafundi usikubali utapakwa mafutaNatumaini ni wazima wa afya na poleni na majukumu.
Niingie kwenye mada.
Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.
Nilimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. Sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa na kaka yake na
Niuzie mimi hilo zali mkuu..Natumaini ni wazima wa afya na poleni na majukumu.
Niingie kwenye mada.
Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.
Nilimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. Sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa na kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza.
Tukienda mahali hata pesa za manunuzi ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri halafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
Hakuna kitu inauma kama kibuti cha namna hiyo hua kinafanya wanaume wengi kuongea peke yao huko njiani.Natumaini ni wazima wa afya na poleni na majukumu.
Niingie kwenye mada.
Mimi ni mwanaume nina miaka 24, najishughulisha na kazi binafsi Ila bado kipato changu sio kikubwa. Miezi michache iliyopita nilifanikiwa kuwa na mahusiano na binti mrembo na muonekano wake ni kama ana miaka 20 hivi.
Nilimueleza ya moyoni akanielewa saivi tupo kwenye mahusiano. Sikujua kumbe binti ana kazi nzuri ameajiriwa na kaka yake na kipato kikubwa tu anapata. Miaka yake ni 26 Ila kimuonekano ni mdogo, juzi kanambia tuende mahali kumbe ni kununua materials ya kupeleka site, kumbe ana eneo na nyumba msingi umeanza.
Tukienda mahali hata pesa za manunuzi ananikabidhi na akiwa busy ananiomba nikasimamie mafundi. Nashindwa kuwa na ujasiri wa kuchangia ujenzi naomba ushauri halafu pia wakuu hili ni zali au nikimbie tu nimuache na projects zake.
Inauma sana nyumba inakamilika anamhamishia huko mama yake[emoji16][emoji16][emoji16]Changia ujenzi saidia kazi hayo ndo mapenzi, ila pambana ujenge yako pia cha mwanamke ni cha mwanamke na ulichompa mwanamke si chako ni chake
Mafundi maana watajua ni mke wa mwenye nyumbaMafuta tenaa😅? Na nani.
Walionipa jina la "captain 21" wanaijua shughuli yangu, huenda na yeye akanipa cheo kingine cha ubrigedia kabisa..Usiwaze ila😅 Shida Kama gegedo lako linasoma km nyingi atakuacha mkuu
Chukua hati hiyo chalyangu acha u ree!😂😂 sawaa mkuu Ila Juz kati nlimkaza mbaya hadi akawa anataka kunipa hati ya kiwanjaa