Nimekua disappointed sana na Mtu ambaye nilikua namuona wa thamani sana....ni week sasa Tangu nikutane na hio disappointment

Nimekua disappointed sana na Mtu ambaye nilikua namuona wa thamani sana....ni week sasa Tangu nikutane na hio disappointment

Binadamu usizoeane nae sana na kitu kinacho waumizi wengi ni ile trust ya kila kitu

Yaani unamfanya mtu kama ndugu yako kabisa na kujiachia kila kitu kwa kumuambia mambo yako yote

Hell No jaribu kuwa na siri kwa mambo yako na usichunguze ya wenzio

Kuna mtu alikuja kazini masikini kaja tu akapata depression kwa mgogoro na mke wake, akawa anahadithia mambo yake kwa kila mtu

Mwisho nikamuita nikamuambia nakupa ukweli hii ni depression acha kumuongelea mtu tusiemjua na maisha yako yawe siri yako

Ilimchukua mda sana kupona kama miezi minne

Huu ni mfano nimechomekea ila mjitahidi sana kuweka siri mambo yenu zaidi ya general tu

Pole ila wala usihangaike sana hata kama anajua mengi kuhusu wewe hapo umejifunza na sisi kila leo tunajifunza na kujirekebisha pia

Endelea na maisha yako piga kazi
 
Hivi kumbe kuna watu mnapitia changamoto za ajabu hivi. Sorry Mkuu ila nimeshangaa tu how come mtu unaji attach na kuwa emotionally dependant kwa mtu kiasi hicho?.

Anyway mi naona ni aina fulani ya udhaifu mbaya huo.
Mkuu sio emotional dependant ni Ile umemuamini sana mtu ukamuona katika miongoni mwa watu na yeye yumo then unakuja kugundua kumbe jamaa yupo opposite kabisa
 
Msamehe ila elewa hakuna muaminifu kwa mambo yako zaidi yako na mtu pekee ambae hatokaa akudisappoint ni wewe mwenyewe.

Kosa ni lako ila shukuru umejifunza sasa huenda ingekutokea huko baadae hali ingekuwa mbaya sana.
 
Wanasemaga rafiki wa adui yako ni adui yako hii kitu kumbe ni real kabisa huyu jamaa Kuna mshkaji hapo ofisin huyo mshkaji hua ananichukia sana sijamkosea chochote ila ana chuki sana na Mimi
Bora huyo anaeonesha chuki wazi wazi kuliko anaejifanya rafiki kumbe mnafiki.
 
Back
Top Bottom