Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Haya naombeni ushauri wenu, mimi kama mhitimu nawezaje kuanza kuukabili mtaa ili nipate ata kashughuli kangu binafsi.
Nimezungusha barua na CV mpaka kwenye vituo vya kulelea yatima lakini ngoma ngumu bado.
SO WHAT WE GONNA DO
Nimezungusha barua na CV mpaka kwenye vituo vya kulelea yatima lakini ngoma ngumu bado.
SO WHAT WE GONNA DO