MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 791
- 1,120
Application ya ule msemo wa ukitoa elimu yako kichwani unabakiwa na nini ?Haya naombeni ushauri wenu, mimi kama mhitimu nawezaje kuanza kuukabili mtaa ili nipate ata kashughuli kangu binafsi
Nimezungusha barua na CV mpaka kwenye vituo vya kulelea yatima lakini ngoma ngumu bado
SO WHAT WE GONNA DO