Nimekubali elimu ya shule haina maana mtaani

Nimekubali elimu ya shule haina maana mtaani

Achana na dhana ya wewe ni msomi... Anza kuishi kama mtu ambaye hajasoma, fanya kazi yoyote itakayokuingizia kipato. Na ili ufanye kazi yoyote toka eneo ulikozaliwa tafuta maeneo ambayo hutambuliki na kila mtu!. Kwenye hizi kazi za zisizohitaji taaluma au vyeti kama ujenzi,ulinzi ndio connection ya maisha kuwa mepesi huanzia. Kazi ya ujenzi unafanya kuanzia saa saa 1 asubuhi mpk 11 jioni unatoka zako na kibunda Cha 15000, sio kazi nyepesi but kuingiza kitu si sawa na kupoteza muda mtaani. Vyeti visikudanganye .....
Wale wanaotuona sisi wabahili kwa sababu hatuhongi waje watuulize.

Tunapata pesa kwa jasho na damu.

Ndio maana hatutaki kuwa mapunda wa mbususu
 
Achana na dhana ya wewe ni msomi... Anza kuishi kama mtu ambaye hajasoma, fanya kazi yoyote itakayokuingizia kipato. Na ili ufanye kazi yoyote toka eneo ulikozaliwa tafuta maeneo ambayo hutambuliki na kila mtu!. Kwenye hizi kazi za zisizohitaji taaluma au vyeti kama ujenzi,ulinzi ndio connection ya maisha kuwa mepesi huanzia. Kazi ya ujenzi unafanya kuanzia saa saa 1 asubuhi mpk 11 jioni unatoka zako na kibunda Cha 15000, sio kazi nyepesi but kuingiza kitu si sawa na kupoteza muda mtaani. Vyeti visikudanganye .....
Umesoma Nini kitu Gani ? Tuanzie hapo
 
Watakwambia hakuna ajuae kesho, kiukweli suala la elimu Tanzania limekaa ki siasa sana. Elimu bora kwa Tanzania ni kusoma na kuandika huko kwingineko ni kupoteza muda.
Mitaala inatungwa na Wahitimu wanaosoma Chuo? Kuhusu kukariri MIMI nilikua Bingwa wa kujibu maswali kutokana na uelewa wangu sikua napenda mambo ya kukaririsha vitu Ila Walimu wanataka ujibu kilichoandikwa kwenye kitabu unafanyaje unajibu unavyoelewa wewe kuendana na uelewa wako ufeli au unajibu km kilivyo kwenye kitabu ili ufaulu?

Mfano Geography Ina maana nyingi kuendana na uelewa Ila Mwalimu atataka ujibu kuendana ilivyoandikwa kwenye kitabu cha mtaala sasa hapo kosa la nani Mhitimu au kosa la Mwalimu? Usilaumu kitu usichokielewa vizuri

Kulikua na umuhimu gani wa yeye kwenda Shule/Chuo ikiwa Serikali unajua fika hawatampatia ajira?

Ifike wakati suala la kupeleka mtoto Shule liwe ni la hiari ya Mzazi na Mtoto lisiwe suala la lazima Mzazi akitaka apeleke Mtoto Shule ambae anaona namna gani amtafutie shughuli ya kufanya mapema kabla jua halijazama mtafutie eneo alime mazao ya Biashara, mtafutie Mifugo auze Ngozi, nyama na Maziwa sio kukomaa na makitu Shule/Chuo unasomea Petroleum au telecommunication alafu baadae eti unakua Muuza karanga huo ni usenge kwanini usingeuza karanga kuanzia pale pale ulipokua na Miaka 10 mpaka unafika 20 nna hakika ushakua mfanyabiashara mzuri na uzoefu wa kutosha, unapoteza miaka zaidi ya 10 kwenye hakuna
 
Haya naombeni ushauri wenu, mimi kama mhitimu nawezaje kuanza kuukabili mtaa ili nipate ata kashughuli kangu binafsi.

Nimezungusha barua na CV mpaka kwenye vituo vya kulelea yatima lakini ngoma ngumu bado.

SO WHAT WE GONNA DO
First you should agree to go down to cocroach level. Forget your credentials for at least 5yrs and submit urself to the hoods
 
Back
Top Bottom