Nimekubali elimu ya shule haina maana mtaani

Nimekubali elimu ya shule haina maana mtaani

Wahitimu wengi wa Tanzania wanakwenda shuleni kukariri kujibu maswali ili wapate maksi nzuri na kupata ajira. Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Ndiyo maana unakuta wanashindwa hata kuwa viongozi wa kudai mabadiliko ya mfumo ambao umefeli kabisa.
Mitaala inatungwa na Wahitimu wanaosoma Chuo? Kuhusu kukariri MIMI nilikua Bingwa wa kujibu maswali kutokana na uelewa wangu sikua napenda mambo ya kukaririsha vitu Ila Walimu wanataka ujibu kilichoandikwa kwenye kitabu unafanyaje unajibu unavyoelewa wewe kuendana na uelewa wako ufeli au unajibu km kilivyo kwenye kitabu ili ufaulu?

Mfano Geography Ina maana nyingi kuendana na uelewa Ila Mwalimu atataka ujibu kuendana ilivyoandikwa kwenye kitabu cha mtaala sasa hapo kosa la nani Mhitimu au kosa la Mwalimu? Usilaumu kitu usichokielewa vizuri

Kulikua na umuhimu gani wa yeye kwenda Shule/Chuo ikiwa Serikali unajua fika hawatampatia ajira?

Ifike wakati suala la kupeleka mtoto Shule liwe ni la hiari ya Mzazi na Mtoto lisiwe suala la lazima Mzazi akitaka apeleke Mtoto Shule ambae anaona namna gani amtafutie shughuli ya kufanya mapema kabla jua halijazama mtafutie eneo alime mazao ya Biashara, mtafutie Mifugo auze Ngozi, nyama na Maziwa sio kukomaa na makitu Shule/Chuo unasomea Petroleum au telecommunication alafu baadae eti unakua Muuza karanga huo ni usenge kwanini usingeuza karanga kuanzia pale pale ulipokua na Miaka 10 mpaka unafika 20 nna hakika ushakua mfanyabiashara mzuri na uzoefu wa kutosha, unapoteza miaka zaidi ya 10 kwenye hakuna
 
Wahitimu wengi wa Tanzania wanakwenda shuleni kukariri kujibu maswali ili wapate maksi nzuri na kupata ajira. Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Ndiyo maana unakuta wanashindwa hata kuwa viongozi wa kudai mabadiliko ya mfumo ambao umefeli kabisa.
Kama wahitimu wengi i.e. sio wote wanakwenda shuleni kukariri kujibu maswali lengo likiwa ni kupata maksi nzuri ikiwezekana apate 100% (of which is Good and OK) lakini kwamba eti ili apate ajira nadhani hapo ndipo penye shida.
Kwani wewe mzazi umeshawahi kumwambia mwanao eti asome kwa bidii ili apate ajira? Kama hujawahi kumwambia basi ni muda mwafaka umwambie ukweli kwamba asome kwa bidii ili aweze kapata mbinu za maisha bora zaidi kwa kauli mbiu isemayo - Elimu ni ufunguo wa maisha.
Huko shuleni na chuoni siku hizi huo ndo wimbo wa walimu na maprofesa. Wengi wa wahitimu wanalijua hilo ila wapo vilaza (sio wote) wamemezeshwa eti elimu ni ili uweze kupata ajira, uweze kuwa kiongozi n.k. n.k. hawataki kuukubali ukweli japo macho wanayo na wanawaona waliowatangulia kuhitimu mapito wanayopitia, masikio wanayo lakini hawataki kusikia wanaloambiwa. Wameng'ang'ania kuajiriwa. Ila kama zikitokea nafasi za ajira, waombe ila sio lazima wapate-wakae wakijua hilo.
 
Mitaala inatungwa na Wahitimu wanaosoma Chuo? Kuhusu kukariri MIMI nilikua Bingwa wa kujibu maswali kutokana na uelewa wangu sikua napenda mambo ya kukaririsha vitu Ila Walimu wanataka ujibu kilichoandikwa kwenye kitabu unafanyaje unajibu unavyoelewa wewe kuendana na uelewa wako ufeli au unajibu km kilivyo kwenye kitabu ili ufaulu?

Mfano Geography Ina maana nyingi kuendana na uelewa Ila Mwalimu atataka ujibu kuendana ilivyoandikwa kwenye kitabu cha mtaala sasa hapo kosa la nani Mhitimu au kosa la Mwalimu? Usilaumu kitu usichokielewa vizuri

Kulikua na umuhimu gani wa yeye kwenda Shule/Chuo ikiwa Serikali unajua fika hawatampatia ajira?

Ifike wakati suala la kupeleka mtoto Shule liwe ni la hiari ya Mzazi na Mtoto lisiwe suala la lazima Mzazi akitaka apeleke Mtoto Shule ambae anaona namna gani amtafutie shughuli ya kufanya mapema kabla jua halijazama mtafutie eneo alime mazao ya Biashara, mtafutie Mifugo auze Ngozi, nyama na Maziwa sio kukomaa na makitu Shule/Chuo unasomea Petroleum au telecommunication alafu baadae eti unakua Muuza karanga huo ni usenge kwanini usingeuza karanga kuanzia pale pale ulipokua na Miaka 10 mpaka unafika 20 nna hakika ushakua mfanyabiashara mzuri na uzoefu wa kutosha, unapoteza miaka zaidi ya 10 kwenye hakuna
Mkuu; umetiririka vizuri ila hapa:.. Ifike wakati suala la kupeleka mtoto Shule liwe ni la hiari ya Mzazi na Mtoto lisiwe suala la lazima Mzazi akitaka apeleke Mtoto Shule ambae anaona namna gani amtafutie shughuli ya kufanya mapema kabla jua halijazama mtafutie eneo alime mazao ya Biashara, mtafutie Mifugo auze Ngozi, nyama na Maziwa sio kukomaa na makitu Shule/Chuo unasomea Petroleum au telecommunication alafu baadae eti unakua Muuza karanga huo ni usenge kwanini usingeuza karanga kuanzia pale pale ulipokua na Miaka 10 mpaka unafika 20 nna hakika ushakua mfanyabiashara mzuri na uzoefu wa kutosha, unapoteza miaka zaidi ya 10 kwenye hakuna....
Sikubaliani kamwe na wewe kwa sababu shule ni shule tuu. Unaanzia chekechea hadi huko juu. Sasa hebu niambie mtoto hajawahi kanyaga shule maisha tuliyonayo kwa sasa i.e. maisha ya kidigitali, mtoto kesha kuwa mtu mzima lakini hata kusoma meseji kwenye cm hajui (si hajaenda shule? -shuleni ndiko wanakofundisha kusoma na kuandika) Mtu mzima atakuwa hata kusoma vibao barabarani vinavyoelekeza e.g. akiwa ni bodaboda au ni msafiri lakini ameghafilika njia ya mahali anapotaka kufika na vibao vibao vipo ila hajui kusoma huoni atakuwa ni rahisi kuangukia mikononi mwa walaghai? Ngoja niishie tu hapo kwa maneno kwamba ni hasara kubwa sana mtu ataipata kama ataikejeli na kuidharau elimu. Kama ni mtoto wako akijagundua eti ni ww mzazi ulifanya kwa makusudi anaweza kukulaani au hata kulichapa kaburi lako viboko - Very Sad indeed.
 
Sikubaliani kamwe na wewe kwa sababu shule ni shule tuu. Unaanzia chekechea hadi huko juu. Sasa hebu niambie mtoto hajawahi kanyaga shule maisha tuliyonayo kwa sasa i.e. maisha ya kidigitali, mtoto kesha kuwa mtu mzima lakini hata kusoma meseji kwenye cm hajui (si hajaenda shule? -shuleni ndiko wanakofundisha kusoma na kuandika) Mtu mzima atakuwa hata kusoma vibao barabarani vinavyoelekeza e.g. akiwa ni bodaboda au ni msafiri lakini ameghafilika njia ya mahali anapotaka kufika na vibao vibao vipo ila hajui kusoma huoni atakuwa ni rahisi kuangukia mikononi mwa walaghai? Ngoja niishie tu hapo kwa maneno kwamba ni hasara kubwa sana mtu ataipata kama ataikejeli na kuidharau elimu. Kama ni mtoto wako akijagundua eti ni ww mzazi ulifanya kwa makusudi anaweza kukulaani au hata kulichapa kaburi lako viboko - Very Sad indeed.
Unachosahau ni kwamba wapo watu HIO wewe unayoisema Shule Shule hawaijui Ila Simu wanajua kutumia na meseji wanajibu vizuri tu ushanielewa? Dunia ya sasa km ulivyosema chenye umuhimu zaidi ni Pesa sio Elimu wewe simama pale na Elimu yako huna Ajira huna kazi alafu mwingine asimame pale ana Pesa ana viwanja ana majumba ana Magari alafu mkaambiwa mzungumze unafikiri watu watamsikiliza nani? Wewe msomi usiekua na Ajira huna kazi umechoka umechakaa au Tajiri asiejua kusoma wala kuandika Ila ana mafanikio makubwa kukuzidi wewe ulieenda Shule?
 
Haya naombeni ushauri wenu, mimi kama mhitimu nawezaje kuanza kuukabili mtaa ili nipate ata kashughuli kangu binafsi.

Nimezungusha barua na CV mpaka kwenye vituo vya kulelea yatima lakini ngoma ngumu bado.

SO WHAT WE GONNA DO
Kwa vile baada ya kuzunguka na vyeti vya shule na ukatoka 'pekupeku' na kuhitimisha kwamba sasa unaamini elimu ya shule haina maana, sasa jaribu kuzunguka bila vyeti na ukiulizwa kama unajua kusoma, kuandika na kuhesabu, sema hujawahi kwenda shule na kisha ulete mrejesho. Kutoka hapo utaweza kupata ufumbuzi.
 
Fanya kazi yoyote usibague kazi eti kisa we Ni msomi, utapigika Sana mwanangu
Swali kulikua na umuhimu gani wa yeye kwenda Chuo ikiwa ushauri wenyewe ndio huu? HIO kazi Si angeanza kufanya kipindi akiwa na Miaka 10/12 sasa hivi angekua yupo JF hapa anaomba ushauri Si angekua ana kiwanda chake cha kuchakata mbao huko Mafinga anasuburi Maliasili wamvizie wamwambie anavuna miti kwenye msitu wake mwenyewe bila kua na vibari?
 
Hali ya ajira nchini ni mbaya sana,na kinachosikitisha zaidi ni mahitaji makubwa ya wafanyakazi mfano walimu,polisi,madaktari,maafisa kilimo n.k na vijana wengi wapo mtaani waliosomea hayo mambo ILA HAWAAJIRIWI fedha zote zinaishia kugharamia maisha ya anasa ya viongozi waliopo na wastaafu wa chama na serikali.CCM ni laana kwenye hii nchi ipinge kwa nguvu zako zote
 
Kama wahitimu wengi i.e. sio wote wanakwenda shuleni kukariri kujibu maswali lengo likiwa ni kupata maksi nzuri ikiwezekana apate 100% (of which is Good and OK) lakini kwamba eti ili apate ajira nadhani hapo ndipo penye shida.
Kwani wewe mzazi umeshawahi kumwambia mwanao eti asome kwa bidii ili apate ajira? Kama hujawahi kumwambia basi ni muda mwafaka umwambie ukweli kwamba asome kwa bidii ili aweze kapata mbinu za maisha bora zaidi kwa kauli mbiu isemayo - Elimu ni ufunguo wa maisha.
Huko shuleni na chuoni siku hizi huo ndo wimbo wa walimu na maprofesa. Wengi wa wahitimu wanalijua hilo ila wapo vilaza (sio wote) wamemezeshwa eti elimu ni ili uweze kupata ajira, uweze kuwa kiongozi n.k. n.k. hawataki kuukubali ukweli japo macho wanayo na wanawaona waliowatangulia kuhitimu mapito wanayopitia, masikio wanayo lakini hawataki kusikia wanaloambiwa. Wameng'ang'ania kuajiriwa. Ila kama zikitokea nafasi za ajira, waombe ila sio lazima wapate-wakae wakijua hilo.
Siyo vyuo vya Tanzania unazungumzia hapa. Elimu yetu ni hovyo kiasi ambacho wahitimu wanakuwa hawawezi kutafakari mambo madogo kabisa.
 
Mitaala inatungwa na Wahitimu wanaosoma Chuo? Kuhusu kukariri MIMI nilikua Bingwa wa kujibu maswali kutokana na uelewa wangu sikua napenda mambo ya kukaririsha vitu Ila Walimu wanataka ujibu kilichoandikwa kwenye kitabu unafanyaje unajibu unavyoelewa wewe kuendana na uelewa wako ufeli au unajibu km kilivyo kwenye kitabu ili ufaulu?

Mfano Geography Ina maana nyingi kuendana na uelewa Ila Mwalimu atataka ujibu kuendana ilivyoandikwa kwenye kitabu cha mtaala sasa hapo kosa la nani Mhitimu au kosa la Mwalimu? Usilaumu kitu usichokielewa vizuri

Kulikua na umuhimu gani wa yeye kwenda Shule/Chuo ikiwa Serikali unajua fika hawatampatia ajira?

Ifike wakati suala la kupeleka mtoto Shule liwe ni la hiari ya Mzazi na Mtoto lisiwe suala la lazima Mzazi akitaka apeleke Mtoto Shule ambae anaona namna gani amtafutie shughuli ya kufanya mapema kabla jua halijazama mtafutie eneo alime mazao ya Biashara, mtafutie Mifugo auze Ngozi, nyama na Maziwa sio kukomaa na makitu Shule/Chuo unasomea Petroleum au telecommunication alafu baadae eti unakua Muuza karanga huo ni usenge kwanini usingeuza karanga kuanzia pale pale ulipokua na Miaka 10 mpaka unafika 20 nna hakika ushakua mfanyabiashara mzuri na uzoefu wa kutosha, unapoteza miaka zaidi ya 10 kwenye hakuna
Mhanga mwingine wa elimu yetu huyu hapa. Utawambua tu kwa michango yao.
 
Mhanga mwingine wa elimu yetu huyu hapa. Utawambua tu kwa michango yao.
MIMI SIO muhanga wala Muhenga nachangia mada tu km ilivyowekwa malumbano ya hoja, kuna tatizo kwani? Sipo tayari ku-support unachoki-support kila mtu ana uelewa na mtazamo wake iwe hasi au chanya Ila maoni ya kila mmoja wetu yaheshimiwe iwe kwa kujenga au kubomoa Ila ujumbe umefika
 
DSM ndo rahisi kutoboa ukiwa Una fine tune unaweza kufikia lengo.

Huwa nashangaa graduate anakimbilia kijijini na kuacha Ku-hustle DSM .

Sio lazima ule madawa Ila waweza wewe Kuwa ndo hayo madawa yenyewe.

Sky is limit everyday RICH.
Yaan katika watu ambao wanafata what you speek.. ni mimi hapa hivo sijawahi kukupinga mkuu.
 
Back
Top Bottom