Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
- Thread starter
- #21
Kweli Nyanda Banka anaweza kunisaidia ngoja nimuoneMkuu; bado hujaizungusha barua na cv kwa Nyanda Banka. Huyo hawezi kushindwa. Niamini mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Nyanda Banka anaweza kunisaidia ngoja nimuoneMkuu; bado hujaizungusha barua na cv kwa Nyanda Banka. Huyo hawezi kushindwa. Niamini mimi.
Basi acha tumpe abc za mtaani zilivyo... Wengine tulishasahau kama tuliwahi kusoma na tuishi mtaani kama kawaida...Serikali IPO inasoma comments tu
Anza mapema usichelewe utakuta vijana weshalamba fursa zilizopo.Kweli Nyanda Banka anaweza kunisaidia ngoja nimuone
Akaombe mtaji kwa waliomlea na kumkuza au sio Serikali kakaa pembeni Si ndio? Serikali inaenda kukopa kwa ajili ya uchumi wa Buluu Ila sio kwa ajili ya mitaji ya vijana au sio? Mikopo ya Halmashauri wanapeana kwa kujuana au sio? Km hawakujui hawakupi Mkopo au sio? Zile Boda Boda pia wanagawa kwa kujuana km hawakujui hupati au sio? Ndio Serikali hio unayoisema au ni nyingine? Serikali ni wapi inapowazungumzia kwa upana vijana zaidi ya kuwaweka kwenye special group la Wanawake na Walemavu yaan vijana wanaomaliza vyuo ni Wanawake vijana wanaomaliza vyuo ni Walemavu? Vijana ilibidi wawekwe kwenye KUNDI lao wao km wao ili waweze kujikwamua kiuchumiHapa issue sio habari yeye kwenda chuo Bali anawezaje kuyamudu maisha yake nje ya taaluma yake...
Kweli Nyanda Banka anaweza kunisaidia ngoja nimuone
Weee, mbona unamficha jamaa kwamba mlijiongeza na sasa ndo mnaishi mtaani kama ulivyosema?Basi acha tumpe abc za mtaani zilivyo... Wengine tulishasahau kama tuliwahi kusoma na tuishi mtaani kama kawaida...
Daah ni kazi gani hiyo....Kuna kazi MBEZI beach mwambie
Umuhimu wa elimu haupimwi kwa kigezo cha ajira, whether kumsaidia msomi kupata ajira au kupamban na maisha ya kila aina. Elimu yenyew ni specialise base na suala la ajira ni suala la kimfumo zaidi na pupulationElimu ya Chuo itakusaidia nini ikiwa huna Ajira huna kazi?
Nani ambae hajui ABC za mtaa nimekuuliza Serikali inapohimiza wazazi wawapeleke watoto Shule alafu baadae inawamwaga wanazagaa tu inakua na maana gani? Hivi umewahi kufikiria hilo au hujawahi kufikiria? Kwanini Serikali inalazimisha kwanini isiwe hiari? Mimi nataka wanangu wasiende huko Shule wafanye biashara mpaka anafika 20 kashakua mfanyabiashara mzuri tu sasa unakuta mtu 23 anamaliza Chuo Hana uelekeo anaanza kusota kutembeza bahasha na CV yake huo ni usengeBasi acha tumpe abc za mtaani zilivyo... Wengine tulishasahau kama tuliwahi kusoma na tuishi mtaani kama kawaida...
Kutoboa nini Pua au Sikio?Je umeshindwa kutoboa ukiwa DSM katika "the land of opportunitie"
Dr haya dar bagumu nyie 😂😂😂
Mbona wanazidi kumiminikia huko na hakuna anayerudi kwa ajli ya ugumu uliopo?Dr haya dar bagumu nyie 😂😂😂
Hapana mkuu. Huyo anakuwa na uwanja mpana zaidi wa kutembeza bahasha na cv yake. Ni suala la muda na uwezo wa mtu kujiongeza na kuzitambua fursa zilizopo.Nani ambae hajui ABC za mtaa nimekuuliza Serikali inapohimiza wazazi wawapeleke watoto Shule alafu baadae inawamwaga wanazagaa tu inakua na maana gani? Hivi umewahi kufikiria hilo au hujawahi kufikiria? Kwanini Serikali inalazimisha kwanini isiwe hiari? Mimi nataka wanangu wasiende huko Shule wafanye biashara mpaka anafika 20 kashakua mfanyabiashara mzuri tu sasa unakuta mtu 23 anamaliza Chuo Hana uelekeo anaanza kusota kutembeza bahasha na CV yake huo ni usenge
😁😁😁Kutoboa nini Pua au Sikio?
Mbona wanazidi kumiminikia huko na hakuna anayerudi kwa ajli ya ugumu uliopo?
Hapana mkuu. Huyo anakuwa na uwanja mpana zaidi wa kutembeza bahasha na cv yake. Ni suala la muda na uwezo wa mtu kujiongeza na kuzitambua fursa zilizopo.