Nimekubali kuachwa tena

Jana walikuwa 25Km away from Kiev ,Leo wame advance kidogo au???[emoji28]
Walishafika tangu Jana mchana,
Kuna vinu uko vinarushwa Ni balaa na nusu.

Kyv inachakazwa.

Mpk Zelensky mwnyw leo hajaonekana kabisa kwny social media, Sijui atakua kajificha handaki gani sahv.
 
Hii ngoma ungekuwa unaicheza wewe ungejuaa jinsi midundo inavoenda[emoji28][emoji28], sawa ila sitofata ushauri wako wa kumrudia
 
Walishafika tangu Jana mchana,
Kuna vinu uko vinarushwa Ni balaa na nusu.

Kyv inachakazwa.

Mpk Zelensky mwnyw leo hajaonekana kabisa kwny social media, Sijui atakua kajificha handaki gani sahv.
Ngoja niingiee Twitter nicheki,
 

Nimecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ulivoandika natamani ungetuma voice note[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Uko vizuri kwa uchambuzi mkuu,yaani umenikumbusha wahariri wa magazeti ya Mzalendo na Mfanyakazi,Pia mwalimu wangu wa fasihi alivyokua anachambua kipengele kwa kipengele,Hongera sana
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unafaa sana nitaku PM tugangee
 
Mi nakushauri utafute aliekuzidi miaka 20 ili akuone kama mtoto wake kabisa, hapo utakula mema ya nchi na hataomba hata mia yako,kina mama wana huruma sana hasa linapokuja swala la mtoto wake.
 
Hizi post zote ni zake au!?
 
Uko vizuri kwa uchambuzi mkuu,yaani umenikumbusha wahariri wa magazeti ya Mzalendo na Mfanyakazi,Pia mwalimu wangu wa fasihi alivyokua anachambua kipengele kwa kipengele,Hongera sana
Asante sana chief[emoji120][emoji120][emoji28]
 
Mi nakushauri utafute aliekuzidi miaka 20 ili akuone kama mtoto wake kabisa,hapo utakula mema ya nchi na hataomba hata mia yako,kina mama wana huruma sana hasa linapokuja swala la mtoto wake.
[emoji1][emoji1][emoji1]daaah sawa mkuu
 
Zote zangu chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…