Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mazito yanafanywa mtpesi na mepesi yanafanywa mazito[emoji23][emoji4] Dunia ina mambo
Unapoteza muda bure mkuuNimekubali ashinde ila asije Lia liaa badaee hapa.
[emoji28][emoji28]hapana na kama ndiyo mchungaji kapata chemamanzi ya mchungaji hiyo[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaa kwani mie ni lesbianMtoa uzi me or ke sio kwa uandishi huo
Humu nataka tu marafiki[emoji1] labda promotion itokee badaePole
Weka bango humu..Kuna ladies wapo singoz unaweza kwapua mmoja
Muda mwingine ni kusubiri meli airport ndugu, kuna kuvumilia na kupoteza muda, ye hayuko interested nami so achague wengine walio alpha malesWewe sio mvuvi.Uvuvi unahitaji uvumilivu.Yaani wewe chambo imetikiswa tu unavuta ndoano.
Hata kuku anapewa mchele anakula anashiba halafu anadakwa analiwa na wali.
Wacha pupa.
Namba sifuti[emoji28] nataka aone jinsi maisha inasonga hata bila uwepo wakeSawa lakin huona hivyo vijembe status vinakunyima raha, ndo kuchezewa kihisia huko, mara umwambie i love u akuambie mimi dada ako, tena ukiomb sex, anacheka tu na kurusha jabali status [emoji23], ndo kuchezewa kihisia huko mkuu, futa namba mpotezee kiaina, hilo penzi halina tena vibe.
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Sijataka kumblock Ili aone vile maisha yanaenda smooth bila yeye na sinaga status za kuhuzunika maisha yangu yote niwe kwa shida au Tatizo gani, ngoja atafutiwe mwenzake tuMimi ningekuwa wewe ninge mblock siku hiyo hiyo aliyoanza kuandika status zake za vijembe ,, Au Kama nisinge mblock Basi ningeacha kuwasiliana nae mazima
Hayajakukuta mkuuu[emoji3][emoji3]Tena mazito yanafanywa mtpesi na mepesi yanafanywa mazito[emoji23]
Sinampango nae Tena mkuuUnapoteza muda bure mkuu
Niyeye [emoji23][emoji23]Kama si manka wa machame..naweka mkeka ....kama nmekosea tuma codes za m-pesa nkuwekee muamala wako
You too[emoji3][emoji3]
It might be so, kanizidi umri na pia mwanamke anakomaa akili kuzidi mwanamme even agemates so kachagua fungu jemaa piaaTrust me,
Kwa maelezo yako, Uyo mwanamke ana upeo mkubwa kukuzid.
Kwa maoni yangu,
Yuko sahii kukupiga chini [emoji4]
(No offense intended [emoji120])