Nimekubali kuachwa tena

Nimekubali kuachwa tena

Mimi ningekuwa wewe ninge mblock siku hiyo hiyo aliyoanza kuandika status zake za vijembe ,, Au Kama nisinge mblock Basi ningeacha kuwasiliana nae mazima
 
FB_IMG_16468614251328775.jpg
 
Wewe sio mvuvi.Uvuvi unahitaji uvumilivu.Yaani wewe chambo imetikiswa tu unavuta ndoano.
Hata kuku anapewa mchele anakula anashiba halafu anadakwa analiwa na wali.
Wacha pupa.
Muda mwingine ni kusubiri meli airport ndugu, kuna kuvumilia na kupoteza muda, ye hayuko interested nami so achague wengine walio alpha males
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sawa lakin huona hivyo vijembe status vinakunyima raha, ndo kuchezewa kihisia huko, mara umwambie i love u akuambie mimi dada ako, tena ukiomb sex, anacheka tu na kurusha jabali status [emoji23], ndo kuchezewa kihisia huko mkuu, futa namba mpotezee kiaina, hilo penzi halina tena vibe.

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Namba sifuti[emoji28] nataka aone jinsi maisha inasonga hata bila uwepo wake
 
Mimi ningekuwa wewe ninge mblock siku hiyo hiyo aliyoanza kuandika status zake za vijembe ,, Au Kama nisinge mblock Basi ningeacha kuwasiliana nae mazima
Sijataka kumblock Ili aone vile maisha yanaenda smooth bila yeye na sinaga status za kuhuzunika maisha yangu yote niwe kwa shida au Tatizo gani, ngoja atafutiwe mwenzake tu
 
Seems bado unampenda Sana uyo mwanamke,
Ndo maana unatumia Nguvu kubwa Sana kuelezea ayo mapungufu yake sahv.
 
Back
Top Bottom