Nimekubali yaishe, kumtongoza tu kaomba laki

Nimekubali yaishe, kumtongoza tu kaomba laki

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,076
Reaction score
5,483
Wakuu habari za muda. Kuna hii kitu imenichanganya sana ni hivi,

Kuna single mother mmoja tunaishi sehemu moja alikuwa ananiletea shobo kibao nikaona sasa hii kero. Kanifata fata sana mpaka nikaona sasa hii itakuwa dharau na ukizingatia ni limaza flani lina mzigo wa haja nikaona ngoja nilitupie vocal.

Aisee aikupita hata siku nikapigwa mzinga wa laki😀😀 aisee mpaka hamu ya kuichakata mbususu yake imeisha. Japo ananipigia sana cm kunijulia hali ila nafupisha story na sometime sipokei kabisa.
Najua hapa natengenezewa mazingira ili nipigwe vizuri.

Japo ni kazi ya kwenda ila kupigwa laki kwa ajili ya kutafuta utelezi usawa huu siwezi.

Pia soma:
Mrejesho: Kanifukuza ndani
 
Iko hivi mkuu, uchumi ukikaa vibaya kuna vitu lazima tupunguze au kuacha kabisa kufanya, kuna matumizi ni lazima tuachane nayo ili kuendana na hali zetu.

Huyu single mama we achana nae tu, mizinga ya 100k itakupa maradhi na utakufa masikini.
 
Juzi single maza mmoja niliwahi piga nkasema niite tena nibutue na hapo katikati kalaa sana vihela vyangu eti akanaiambia anahitaji 50K amuachien mtoto ya sikukuuu..nkamuuliza kumbe unauzaa??? 😀 😀 akajibu hapana ila nina shida nayo nimpe mtoto siwezi muacha mwenyewe nkamwambia bhasi baki na mtotoo..
 
Wakuu habari za muda. Kuna hii kitu imenichanganya sana ni hivi,

Kuna single mother mmoja tunaishi sehemu moja alikuwa ananiletea shobo kibao nikaona sasa hii kero. Kanifata fata sana mpaka nikaona sasa hii itakuwa dharau na ukizingatia ni limaza flani lina mzigo wa haja nikaona ngoja nilitupie vocal.

Aisee aikupita hata siku nikapigwa mzinga wa laki😀😀 aisee mpaka hamu ya kuichakata mbususu yake imeisha. Japo ananipigia sana cm kunijulia hali ila nafupisha story na sometime sipokei kabisa.
Najua hapa natengenezewa mazingira ili nipigwe vizuri.

Japo ni kazi ya kwenda ila kupigwa laki kwa ajili ya kutafuta utelezi usawa huu siwezi
wewe huchakati vizuri, maneno ya hapo ni njoo chukua ila kikubwa usiwe P na uoge kabisa sababu ukifika tu mda wa kuoga hautakuwepo. Hakikisha baada ya zoezi zima hiyo laki wewe mwenyewe utaona haimtoshi utamuongezea hata La 10 la boda hata kama anaishi nyumba kubwa ya mbele.
 
Iko hivi mkuu, uchumi ukikaa vibaya kuna vitu lazima tupunguze au kuacha kabisa kufanya, kuna matumizi ni lazima tuachane nayo ili kuendana na hali zetu.

Huyu single mama we achana nae tu, mizinga ya 100k itakupa maradhi na utakufa masikini.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna manzi nilikuwa nafukuzia tokea mwaka jana Jan. mwezi wa sita mwaka huu akaniomba aje kwangu kunisalimia
Nikasema yes Akaja akaniomba 170,000 nikamchomolea akaanza kulia basi nikaona isiwe tabu nikampa laki kwa mkopo akasema atanirudishia mwezi huu wa saba mwanzoni. Baada ya kumpa iyo laki akaanza kuja gheto basi nami nikaanza kumla but nikimla nampa vijisenti, chakushangaza akanoga kaanza kuwaonea wivu marafiki zangu wa kike nikimpigia simu anataka tuongee mpaka salio likate. Nikaona mapenzi yakitoto ila na baridi hii nikaona nisimpige chini kwanza.

Mwezi nilimkumbushia kuhusu deni langu akasema nilimpa kama zawadi[emoji23][emoji23] hii manzi ntarekodi video niwape conekisheni[emoji23][emoji23]
 
Kuna manzi nilikuwa nafukuzia tokea mwaka jana Jan. mwezi wa sita mwaka huu akaniomba aje kwangu kunisalimia
Nikasema yes Akaja akaniomba 170,000 nikamchomolea akaanza kulia basi nikaona isiwe tabu nikampa laki kwa mkopo akasema atanirudishia mwezi huu wa saba mwanzoni. Baada ya kumpa iyo laki akaanza kuja gheto basi nami nikaanza kumla but nikimla nampa vijisenti, chakushangaza akanoga kaanza kuwaonea wivu marafiki zangu wa kike nikimpigia simu anataka tuongee mpaka salio likate. Nikaona mapenzi yakitoto ila na baridi hii nikaona nisimpige chini kwanza.

Mwezi nilimkumbushia kuhusu deni langu akasema nilimpa kama zawadi[emoji23][emoji23] hii manzi ntarekodi video niwape conekisheni[emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom