Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Huu uzi bila picha ni chai tu. Weka picha yake na yako pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ntaitumia hii mbinuMsogelee karibu umshike mkono, huku ukimwambia naomba nikutangulizie 30,000 huku ukiwa unamsogeza kwako
Ili iweje mkuuHuu uzi bila picha ni chai tu. Weka picha yake na yako pia.
Tatizo siku hio alinitamkia hela kiasi fulani ndio aliponikatia stimu,huwa nikikutana nae naweza nikampa 20,15 au ten siku nyingine anaambulia nauli tuu, ss siku hio aliniuliza unayo 30kDaah..huyo ulimzoesha vibaya mkuu yani mlikuwa mnauziana kimtindo
😂😂😂 laki tu unamrecord video, ingekua Mil hivi si ungetoa albam au ungechapisha CDs usambaze kama msanii😂😂Kuna manzi nilikuwa nafukuzia tokea mwaka jana Jan. mwezi wa sita mwaka huu akaniomba aje kwangu kunisalimia
Nikasema yes Akaja akaniomba 170,000 nikamchomolea akaanza kulia basi nikaona isiwe tabu nikampa laki kwa mkopo akasema atanirudishia mwezi huu wa saba mwanzoni. Baada ya kumpa iyo laki akaanza kuja gheto basi nami nikaanza kumla but nikimla nampa vijisenti, chakushangaza akanoga kaanza kuwaonea wivu marafiki zangu wa kike nikimpigia simu anataka tuongee mpaka salio likate. Nikaona mapenzi yakitoto ila na baridi hii nikaona nisimpige chini kwanza.
Mwezi nilimkumbushia kuhusu deni langu akasema nilimpa kama zawadi[emoji23][emoji23] hii manzi ntarekodi video niwape conekisheni[emoji23][emoji23]
Kwani huu uzi umeandika ili iweje?Ili iweje mkuu
Sasa hapo mundende unaingiaje?Vijana tumieni mundende, vinginevyo mtakua mnalialia sana kila siku
Sasa ulitaka ule bure?? Akili za kijinga kabisa hizi,yaani umuachishe shughuli zake aje kukidhi haja zako halafu still unamuuliza anauza?? Akili za kitoto hiziJuzi single maza mmoja niliwahi piga nkasema niite tena nibutue na hapo katikati kalaa sana vihela vyangu eti akanaiambia anahitaji 50K amuachien mtoto ya sikukuuu..nkamuuliza kumbe unauzaa??? 😀 😀 akajibu hapana ila nina shida nayo nimpe mtoto siwezi muacha mwenyewe nkamwambia bhasi baki na mtotoo..
🤣🤣Iko hivi mkuu, uchumi ukikaa vibaya kuna vitu lazima tupunguze au kuacha kabisa kufanya, kuna matumizi ni lazima tuachane nayo ili kuendana na hali zetu.
Huyu single mama we achana nae tu, mizinga ya 100k itakupa maradhi na utakufa masikini.
Aje nikiwa na hela nitampaa.. kwani yeye mara ngapi nampa hela bila kumkaza??? hawezi niuzia wakati analetaga shida zake nampa helaSasa ulitaka ule bure?? Akili za kijinga kabisa hizi,yaani umuachishe shughuli zake aje kukidhi haja zako halafu still unamuuliza anauza?? Akili za kitoto hizi
Atafute mdada mwenye gharama nafuu, mbona wapo wengi tu. Kama ameamua kutafuna mbususu, hazipatikani bure, lakini wapo wadada hawana mazinga makubwa sana, yanahimilika, naamini hivyo vizinga havitamuumiza sana.Umalaya ni gharama sana [emoji16]
Kwa hiyo dhambi ya kutamani sidhani kama kuna mtu anaikosa
[emoji1787][emoji1787]😀 😀 😀sanaa