Nimekubali yaishe, kumtongoza tu kaomba laki

Nimekubali yaishe, kumtongoza tu kaomba laki

Kuna manzi nilikuwa nafukuzia tokea mwaka jana Jan. mwezi wa sita mwaka huu akaniomba aje kwangu kunisalimia
Nikasema yes Akaja akaniomba 170,000 nikamchomolea akaanza kulia basi nikaona isiwe tabu nikampa laki kwa mkopo akasema atanirudishia mwezi huu wa saba mwanzoni. Baada ya kumpa iyo laki akaanza kuja gheto basi nami nikaanza kumla but nikimla nampa vijisenti, chakushangaza akanoga kaanza kuwaonea wivu marafiki zangu wa kike nikimpigia simu anataka tuongee mpaka salio likate. Nikaona mapenzi yakitoto ila na baridi hii nikaona nisimpige chini kwanza.

Mwezi nilimkumbushia kuhusu deni langu akasema nilimpa kama zawadi[emoji23][emoji23] hii manzi ntarekodi video niwape conekisheni[emoji23][emoji23]

We nawe unamdai mwanamke hela???Mwachie tu mkuu
 
Wakuu habari za muda. Kuna hii kitu imenichanganya sana ni hivi,

Kuna single mother mmoja tunaishi sehemu moja alikuwa ananiletea shobo kibao nikaona sasa hii kero. Kanifata fata sana mpaka nikaona sasa hii itakuwa dharau na ukizingatia ni limaza flani lina mzigo wa haja nikaona ngoja nilitupie vocal.

Aisee aikupita hata siku nikapigwa mzinga wa laki😀😀 aisee mpaka hamu ya kuichakata mbususu yake imeisha. Japo ananipigia sana cm kunijulia hali ila nafupisha story na sometime sipokei kabisa.
Najua hapa natengenezewa mazingira ili nipigwe vizuri.

Japo ni kazi ya kwenda ila kupigwa laki kwa ajili ya kutafuta utelezi usawa huu siwezi
Hahah jiandae kupingwa milion ukiomba mbususu
 
Atafute mdada mwenye gharama nafuu, mbona wapo wengi tu. Kama ameamua kutafuna mbususu, hazipatikani bure, lakini wapo wadada hawana mazinga makubwa sana, yanahimilika, naamini hivyo vizinga havitamuumiza sana.
Nimecheka sana mkuu 😂😂😂😂😂 inabidi nijiongeze kwingine hizo level za hapo siziwez
 
Kosa ulilofanya ni kumtongoza wakati yeye ndio kakuletea shobo.
Sijawahi kupinga mawazo mkuu sasa kwa hap nilipofika ntawezaje kumla bila kutoa hiyo laki maana huko ni parefu sana na kumuacha nashindwa mkuu maana ni zigo la haja
 
Wakuu habari za muda. Kuna hii kitu imenichanganya sana ni hivi,

Kuna single mother mmoja tunaishi sehemu moja alikuwa ananiletea shobo kibao nikaona sasa hii kero. Kanifata fata sana mpaka nikaona sasa hii itakuwa dharau na ukizingatia ni limaza flani lina mzigo wa haja nikaona ngoja nilitupie vocal.

Aisee aikupita hata siku nikapigwa mzinga wa laki[emoji3][emoji3] aisee mpaka hamu ya kuichakata mbususu yake imeisha. Japo ananipigia sana cm kunijulia hali ila nafupisha story na sometime sipokei kabisa.
Najua hapa natengenezewa mazingira ili nipigwe vizuri.

Japo ni kazi ya kwenda ila kupigwa laki kwa ajili ya kutafuta utelezi usawa huu siwezi
Hapo ngoma droo... single maza wanawezwa na vijana wanaojua kutafuta pesa na wenye pesa tu
Single maza akili zao zote ni pesa so kingine na ukiona kakutangulizia anataka akupime uzito akiona uzito uko juu hapo atakulaghai kwa mapenzi kwanza jipange tu upya
 
Back
Top Bottom