Nimekula Mwanamke asiyehusika. Ni mtamu sana

Kuna bro kapiga demu wamekutana Bar (demu hajiuzi) hii ikamuaminisha jamaa ale kavu,baada ya siku Kadhaa jamaa akanza kukojoa usaa,akaenda Hospital Ni gono

Demu akawa anamsumbua mwamba Kila siku kupiga simu wakagegedane tena, nyumbani kwa demu,jamaa imebidi amchane tu demu kwamba umenipa gono
 
Umeingizwa mkenge kakuona mgeni eneo hilo thus katumia staili hio Ili akupige dau kubwa bila hivyo 30 asingeipata , angekuwa hauzi angefata nini hapo
 
Acheni kutisha watu, hao ndio wakiona magoma yale wanayo yapenda kichwa cha chini hakifanyi kazi,, kula mema ya nchi mkuu πŸ˜‚
 
Shida ya mojawapo hapo ni bodaboda waliopo hapo ndani ila watoto wakali kama hawauzi vile
 
Aiseee tamaa hizi........umetapeliwa maana hiyo ndiyo kazi yake
 
Demu alisema hajiuzi ila akaamua kujiuza ila wewe ukaendelea kuamini kua hajiuzi.
 
Huyo dem nipo naye hapa gangilonga endelea kusubiri kama utampata tena
 
Ungeipeleka ule uzi pendwa kula kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…