Nimekula Mwanamke asiyehusika. Ni mtamu sana

Nimekula Mwanamke asiyehusika. Ni mtamu sana

Unanunua ukimwi easy and simple like that...dah🥲🥲🥲🥲wanangu najua kuna uboya flani wa kujazana jazana upepo kula mbususu sjui,ila niwaambie tu ,AKILI KICHWANI MWAKO,HII DUNIA SIO SALAMA KABISA.
 
Umechotwa akili,,kiakili na umelipia bei elekezi bila shurti!!
 
Umeshauziwa kioo mkuu ukidhani almasi....Binti kajifanya na yeye mgeni kama wewe...
 
Na Iringa kwenye Top 5 ya Maambukizi ya Ukimwi ipo zingatia hilo
 
Back
Top Bottom