Nimekula Mwanamke asiyehusika. Ni mtamu sana

Nimekula Mwanamke asiyehusika. Ni mtamu sana

Niko Iringa, jana usiku nikatoka kwenda kusafisha macho kidogo, nikafika sehemu ambayo wanapatikana warembo, nikamwita dada mmoja mrefu, maji ya kunde, amevaa miwani, ana hips zamaana na lips fulani hivi amazing...

Alivyo sogea nikauliza bei akaniambia yeye hafanyi hiyo biashara ila kuna mtu anamsubiri pale labda niende bar fulani hatua chache kutoka pale ntapata huduma...

Kabla sijaondoka nikauliza wanakuwa nje au itabidi nishuke niende ndani, akaniuliza kwani una sh ngapi nikamwambia 20 akauliza una chumba? Nikamwambia ewaa, nimefikia lodge ya mtaa wa nyuma tu akaomba niongeze 10 iwe 30 anisaidie.

Ebwanaaeee, Iringa hakuna baridi kabisa labda kama unahangaika na ma blanketi.... Mtoto ni mtulivu sanaaa anajua kutoa ushirikiano tulifanyana sana, badae nikatoka nje kuweka order ya chakula tukala tukaongea, ni muungwana sana.

Badae nikamsindikiza mpaka anapo ishi nikamshukuru kwakuwa amenikarimu sana, tukapeana namba jioni ya leo nitamtafuta tena tuagane maana alfajiri ya kesho naenda Dodoma.
Asante kwa taarifa
 
Mkifika steji hui muwe mnarudisha mrejesho basi,ngono zembe sio sifa.
20220705_212014.jpg
 
Pande zipi hizo?namaanisha iringa sehemu gani coz na mimi nimetua iringa nina week na kabaridi haka ningenyofoa mmoja ingependeza zaidi nielekeze basi
 
Ukimwi utachukua muda mrefu sana kutoka Afrika na hii ni kutokana na Tabia zetu za kijinga jinga. Sijasemea mambo kama ya Homa ya Ini na HPV...ukipata Elimu ya magonjwa hutakaa ufanye betting na Afya yako daima..
Tabia gani za kijinga heshimu biashara za watu halafu wale wadada wanasaidia sana tu nyie hamjui

Kuhusu ugonjwa ni akili ya mtu .usipojikinga hakuna wa kukinga
 
Kuna bro kapiga demu wamekutana Bar (demu hajiuzi) hii ikamuaminisha jamaa ale kavu,baada ya siku Kadhaa jamaa akanza kukojoa usaa,akaenda Hospital Ni gono

Demu akawa anamsumbua mwamba Kila siku kupiga simu wakagegedane tena, nyumbani kwa demu,jamaa imebidi amchane tu demu kwamba umenipa gono
Baada ya miezi mitatu apime ukimwi
 
Wakati unafurahia nakukumbusha kwa mujibu wa takwimu Iringa na Mbeya zinaongoza kwa maambukizi ya VVU nchini.
 
Alivyo sogea nikauliza bei akaniambia yeye hafanyi hiyo biashara ila kuna mtu anamsubiri pale labda niende bar fulani hatua chache kutoka pale ntapata huduma...

Kabla sijaondoka nikauliza wanakuwa nje au itabidi nishuke niende ndani, akaniuliza kwani una sh ngapi nikamwambia 20 akauliza una chumba? Nikamwambia ewaa, nimefikia lodge ya mtaa wa nyuma tu akaomba niongeze 10 iwe 30 anisaidie.
Dunia hadaa walimwengu mashujaa...

Kuna mambo yanafurahisha sana...
 
Niko Iringa, jana usiku nikatoka kwenda kusafisha macho kidogo, nikafika sehemu ambayo wanapatikana warembo, nikamwita dada mmoja mrefu, maji ya kunde, amevaa miwani, ana hips zamaana na lips fulani hivi amazing...

Alivyo sogea nikauliza bei akaniambia yeye hafanyi hiyo biashara ila kuna mtu anamsubiri pale labda niende bar fulani hatua chache kutoka pale ntapata huduma...

Kabla sijaondoka nikauliza wanakuwa nje au itabidi nishuke niende ndani, akaniuliza kwani una sh ngapi nikamwambia 20 akauliza una chumba? Nikamwambia ewaa, nimefikia lodge ya mtaa wa nyuma tu akaomba niongeze 10 iwe 30 anisaidie.

Ebwanaaeee, Iringa hakuna baridi kabisa labda kama unahangaika na ma blanketi.... Mtoto ni mtulivu sanaaa anajua kutoa ushirikiano tulifanyana sana, badae nikatoka nje kuweka order ya chakula tukala tukaongea, ni muungwana sana.

Badae nikamsindikiza mpaka anapo ishi nikamshukuru kwakuwa amenikarimu sana, tukapeana namba jioni ya leo nitamtafuta tena tuagane maana alfajiri ya kesho naenda Dodoma.
Vijana mmeishiwa content.
 
Kwa iringa mjini location zipi wanajiuza
? Achana na bar nitajie chimbo kamachimbo
 
Back
Top Bottom