Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hello JF,
Baada ya uchovu wa mishe fupi za Leo, nikiwa nimepitiwa na usingizi ndani ya matako ya mjapani nikawaza msoto wa kufundishwa ujinga Calculus Algebra na Trigonometry, plus econometrics kwenye uchumi, nikawa nafananisha kazi niliotoka kuifanya na pesa nilizopata na aina ya msoto wa hizo topics, nikawaza sawa hayo matako ya mjapani yanahusiana na hizo topics.
Sasa nikawaza inafaida gani nisome hizo topics wakati hata pikipiki tu hatuna uwezo wa kuziunda sasa je tunasoma kama mazombi au ndio nini sasa.
Mbona mjapani anasoma na anunda mahari kuna haja Gani sisi kuteseka na hizo sumu.
Africa ujinga ni mwingi sana
Tujirekebishe.
Calculus niliiweza na kuichukia.
Ni hayo tu
Wadiz
Baada ya uchovu wa mishe fupi za Leo, nikiwa nimepitiwa na usingizi ndani ya matako ya mjapani nikawaza msoto wa kufundishwa ujinga Calculus Algebra na Trigonometry, plus econometrics kwenye uchumi, nikawa nafananisha kazi niliotoka kuifanya na pesa nilizopata na aina ya msoto wa hizo topics, nikawaza sawa hayo matako ya mjapani yanahusiana na hizo topics.
Sasa nikawaza inafaida gani nisome hizo topics wakati hata pikipiki tu hatuna uwezo wa kuziunda sasa je tunasoma kama mazombi au ndio nini sasa.
Mbona mjapani anasoma na anunda mahari kuna haja Gani sisi kuteseka na hizo sumu.
Africa ujinga ni mwingi sana
Tujirekebishe.
Calculus niliiweza na kuichukia.
Ni hayo tu
Wadiz