Nimekumbuka nilichofanya siku kama leo mwaka 2019 katika safari yangu ya Mpanda

Hawa makonda ukiwa mstarabu wanakuona fala kwelikweli
Mara nying mahala pengi inapohusika pesa af mko wengi na inatakiwa mtu afanyiwe uhuni wa kuzimwahaki yake, huwa wanachagua yule mstaarabu mstaarabu πŸ˜‚πŸ˜‚ we chunguza utaona
 
😁😁😁😁
Leo ndio nimejua kazi ya mawani yako bro 😁😁

Ila ulikaza
Hapana hiyo hata haikua inahusika.Sema tu inasaidia kupunguza aibu..Si unajua ubinadamu machoni mdogo angu.Unaweza ukaghairi haki yako kisa unamwonea aibu mtesi wako
 
Hiyo Pesa ungemrejeshea Bibi mbele ya hiyo Kima angepata somo zuri zaidi.

Konda amewakilisha vyema aina ya viongozi tulio nao hapa nchini, ukidai tu haki yako wanakugeuzia kibao wewe ndiye unaonekana Gaidi..
 
Mkuu umefanya vizuri sana kusimamia haki yako.Katika vitu ambavyo vinaweza kunifanya nipambane hadi kufa hapa Duniani (Ikibidi) ni mtu kutaka kunifanya mimi ni FALA.
Kwa hiyo kina COVID 19 wasimamie haki yao?
 
Hatimaye dawa ya makonda imepatikana rasmi ( 😎😎😎 na 🎧🎧 kwisha kazi....) πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hiyo Pesa ungemrejeshea Bibi mbele ya hiyo Kima angepata somo zuri zaidi.

Konda amewakilisha vyema aina ya viongozi tulio nao hapa nchini, ukidai tu haki yako wanakugeuzia kibao wewe ndiye unaonekana Gaidi..
Sikutaka kuonyesha kama namkomoa na pia a take advantage kwa yule bibi maana angaweza kuwarudia akajionyesha kana kwamba ni yeye ali influence yale maamuzi yangu.

Lakin pia nilitaka aelewe tu kuwa kudai haki yangu haika sababu ya mimi na yeye kuwa maadau japo hatujuani ndio maana nikamfuata pia anisaidie ku spend the night kwenye gar yake japo nilijua angekataa ila nilitaka afaham kwamba as long as lile tumelimaliza basi tufanye biashara zingine
 
Hatimaye dawa ya makonda imepatikana rasmi ( 😎😎😎 na 🎧🎧 kwisha kazi....) πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ahahahahahah...nimekusoma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daaahhhh aisee kweli ni uKENGE haswaaaaa yaani 🀣🀣🀣. Hopefully huyo konda anakukumbuka mpaka Leo πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Ahaha.Unajua ukishazizoelea tabia flan za kihuni af hupati upinzani wowote basi unajisahau kwamba vyote ni "vya kunyonga" siku ukikutana na "vya kuchinja" unatumia kazi zile zile mwisho wa siku unagundua huviwezi..

Justice prevails always..just the long wait
 
Watu wengi hawajui haki zao. Ndio maana inakuwa ngumu kujisimamia.

Na wengine wanaojua haki zao wanaogopa kuzisimamia.

Unetisha sana.
 
Safi sn...makondakta wa tz wana mambo ya kiwaki sana mi kuna mmoja aliwai kuniletea kauzibe wakati naenda kupambana nipate ridhiki na siku hiyo nilikuwa hovyo sana mfukoni.
Tangu siku hiyo siwakubali kabisa Ila kuna konda alikuja kujichanganya mbona ALIJUTA.
 
Watu wengi hawajui haki zao. Ndio maana inakuwa ngumu kujisimamia.

Na wengine wanaojua haki zao wanaogopa kuzisimamia.

Unetisha sana.
Ni kwel mkuu
 
Hapana hiyo hata haikua inahusika.Sema tu inasaidia kupunguza aibu..Si unajua ubinadamu machoni mdogo angu.Unaweza ukaghairi haki yako kisa unamwonea aibu mtesi wako
😁😁😁 nimeshangaa Tu kuwa unaweza kuwa kauzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…