Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio huyu nahisini Bujibuji Simba NyamaumeHamueleweki nyie sio wewe ulienda toa posa kwa yehova na wayunani au??
Mkaambiwa mlete magovi manne ya watu wazima au tumekufananisha
Asante sanaPole mkuu
Huyo ni Bujibuji Simba NyamaumeHamueleweki nyie sio wewe ulienda toa posa kwa yehova na wayunani au??
Mkaambiwa mlete magovi manne ya watu wazima au tumekufananisha
Kwahiyo mkuu hili jambo kwako ni Burudani au sijakuelewaWe jamaa ni mwenyekiti wa waburudishaji humu jf inabidi upewe heshima yko
Nineshaambiwa wewe hujui mapenzi ndio maana umefumania boxer na bado unaparamia watu.
Kwaiyo we hujui kama mara nyingi huwaga unajitahidi kuburusha humu jukwaani .?Kwahiyo mkuu hili jambo kwako ni Burudani au sijakuelewa
Ndio nini hii?makerere
😂😂😂 Walete magovi manne duuuhHamueleweki nyie sio wewe ulienda toa posa kwa yehova na wayunani au??
Mkaambiwa mlete magovi manne ya watu wazima au tumekufananisha
Kuna baadhi ya Wanaume natamani ningekuwa nawajua ili kutokana na Utoto pamoja na Upopoma wenu niwe nawazaba tu Makofi au hata Nawapiga tu Ngumi kabisa.Sielewi mda huu tumetoka kugombana, huyu ni mchumba wangu nanimke wangu mtarajiwa, nilikuwa safari South Sudan nimerudi Leo kwakushtukiza maana nilimwambia narudi kesho kutwa.
Sasa nilipo fika nilimkuta kibarazani anapika aliponiona tu akahamaki uzuri mlango wa chumba chake ulikuwa wazi mimi nikafungua bila hodi nikaingia ila Kuna jambo jipya nimekuta suruali ya kitambaa na boksa, hizi nguo sio zangu nawala Sina nguo kwenye chumba cha mpenzi wangu.
Nina mashaka walikuwa wanakulana na huyu jamaa huenda kaenda kuoga bafuni ila aliposikia makerere kasepa.
Namuuliza mke wangu amesema ameninunulia mitumba eti. Ivi kweli Kuna boxer ni mitumba jamani. Haina shida mimi nimempa zawadi ya asali niliyonunua Juba nimeondoka kwa Amani nimefuta namba zake.
😁😁😄 punguza jazba mkulungwaKuna baadhi ya Wanaume natamani ningekuwa nawajua ili kutokana na Utoto pamoja na Upopoma wenu niwe nawazaba tu Makofi au hata Nawapiga tu Ngumi kabisa.
Hivi kweli kwa Maisha ya sasa kuna Mtu aliye na Mahusiano ambaye akisafiri muda mrefu Yeye huko aliko Hatombi au Hatombewi aliyemuacha Nyumbani Kwake?
Na mnachonikera zaidi Watu kama Wewe ( uliyekuwa Safarini huko Sudan ) ndiyo Umetomba mpaka basi ila ukisikia au kujua tu Mkeo / Demu wako nae Anatombeka huwa mnajifanya Kufura na hata Kuwadhuru wakati ni Jambo la Kawaida mno kwa Sisi Wanaume Wachache tunaojitambua kutoka hapa nchini Tanzania.
Usitombewe Mpenzio Wewe nani?
Popoma limerudi,,,,, nyieee njooni mmpe ban huyu njugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna baadhi ya Wanaume natamani ningekuwa nawajua ili kutokana na Utoto pamoja na Upopoma wenu niwe nawazaba tu Makofi au hata Nawapiga tu Ngumi kabisa.
Hivi kweli kwa Maisha ya sasa kuna Mtu aliye na Mahusiano ambaye akisafiri muda mrefu Yeye huko aliko Hatombi au Hatombewi aliyemuacha Nyumbani Kwake?
Na mnachonikera zaidi Watu kama Wewe ( uliyekuwa Safarini huko Sudan ) ndiyo Umetomba mpaka basi ila ukisikia au kujua tu Mkeo / Demu wako nae Anatombeka huwa mnajifanya Kufura na hata Kuwadhuru wakati ni Jambo la Kawaida mno kwa Sisi Wanaume Wachache tunaojitambua kutoka hapa nchini Tanzania.
Usitombewe Mpenzio Wewe nani?