Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mpenzi wanguNani analipa kodi hiko CHUMBA hebu tuanzie hapa kwanza
Hahahahah na WAKATI ye mwenyewe ,Kesha wakaza wasudani uko alikotoka... hahahahah [emoji16][emoji16]Kuna baadhi ya Wanaume natamani ningekuwa nawajua ili kutokana na Utoto pamoja na Upopoma wenu niwe nawazaba tu Makofi au hata Nawapiga tu Ngumi kabisa.
Hivi kweli kwa Maisha ya sasa kuna Mtu aliye na Mahusiano ambaye akisafiri muda mrefu Yeye huko aliko Hakazi au Hakaziwi aliyemuacha Nyumbani Kwake?
Na mnachonikera zaidi Watu kama Wewe ( uliyekuwa Safarini huko Sudan ) ndiyo Umekaza mpaka basi ila ukisikia au kujua tu Mkeo / Demu wako nae Anakazwa huwa mnajifanya Kufura na hata Kuwadhuru wakati ni Jambo la Kawaida mno kwa Sisi Wanaume Wachache tunaojitambua kutoka hapa nchini Tanzania.
Usikaziwe Mpenzio Wewe nani?
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifaHahahaaa. Wanatibua wenyewe kisha eti wanaenda kuombewa na hela juu wanatoa sadaka ili maombi yao yakubalike. 'Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"