Nimekuta boksa na suruali kwenye chumba cha mpenzi wangu

Sas asali umeacha ya nini mzee wangu, Dah! umefeli sana alafu kwani ukifuta namba ndo nini sasa? Huyo unasepa zako suala linakuwa limeisha hivyo, mfano mimi jicho tuu linatosha kumfanya mwanamke ajue hapa nimeachwa.
 
Kuna baadhi ya Wanaume natamani ningekuwa nawajua ili kutokana na Utoto pamoja na Upopoma wenu niwe nawazaba tu Makofi au hata Nawapiga tu Ngumi kabisa.

Hivi kweli kwa Maisha ya sasa kuna Mtu aliye na Mahusiano ambaye akisafiri muda mrefu Yeye huko aliko Hakazi au Hakaziwi aliyemuacha Nyumbani Kwake?

Na mnachonikera zaidi Watu kama Wewe ( uliyekuwa Safarini huko Sudan ) ndiyo Umekaza mpaka basi ila ukisikia au kujua tu Mkeo / Demu wako nae Anakazwa huwa mnajifanya Kufura na hata Kuwadhuru wakati ni Jambo la Kawaida mno kwa Sisi Wanaume Wachache tunaojitambua kutoka hapa nchini Tanzania.

Usikaziwe Mpenzio Wewe nani?
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜„ punguza jazba mkulungwa
 
Popoma limerudi,,,,, nyieee njooni mmpe ban huyu njugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…