Hio inaitwa telemka tumkazeeee ukiachia gap kidogo tu watu wanafanya yaoHivi kweli kwa Maisha ya sasa kuna Mtu aliye na Mahusiano ambaye akisafiri muda mrefu Yeye huko aliko Hatombi au Hatombewi aliyemuacha Nyumbani Kwake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anapigwa ban hakomi tu huyu jamaa, nahisi angekuwa mwanasiasa basi ni Kizza Besigye[emoji16][emoji16][emoji1] punguza jazba mkulungwa
ZivaeSielewi mda huu tumetoka kugombana, huyu ni mchumba wangu nanimke wangu mtarajiwa, nilikuwa safari South Sudan nimerudi Leo kwakushtukiza maana nilimwambia narudi kesho kutwa.
Sasa nilipo fika nilimkuta kibarazani anapika aliponiona tu akahamaki uzuri mlango wa chumba chake ulikuwa wazi mimi nikafungua bila hodi nikaingia ila Kuna jambo jipya nimekuta suruali ya kitambaa na boksa, hizi nguo sio zangu nawala Sina nguo kwenye chumba cha mpenzi wangu.
Nina mashaka walikuwa wanakulana na huyu jamaa huenda kaenda kuoga bafuni ila aliposikia makerere kasepa.
Namuuliza mke wangu amesema ameninunulia mitumba eti. Ivi kweli Kuna boxer ni mitumba jamani. Haina shida mimi nimempa zawadi ya asali niliyonunua Juba nimeondoka kwa Amani nimefuta namba zake.
Sifanyi utani mkuu sio kila kitu utaniZivae
Nikiwa BANNED Dhambi zako Mbinguni kwa Mwenyezi Mungu zinapungua na Boss wako Ofisini anakupandishia Mshahara wako? Mnafiki na Mswahili mkubwa Wewe.Popoma limerudi,,,,, nyieee njooni mmpe ban huyu njugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππ daah sio poa huyu ni mkurya itakua hilo jazba lake sio powa kbsa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anapigwa ban hakomi tu huyu jamaa, nahisi angekuwa mwanasiasa basi ni Kizza Besigye
Mpe sifa yake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] DR ,anakulaga mkong'oto Ila hakomagi waziri mkuu mstaafu yule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anapigwa ban hakomi tu huyu jamaa, nahisi angekuwa mwanasiasa basi ni Kizza Besigye
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Mpe sifa yake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] DR ,anakulaga mkong'oto Ila hakomagi waziri mkuu mstaafu yule
Mwagia upupu lakini wapi
Wanaume tumezidi unaenda gheto kwa mwanamke na suruali ya kitamba kweliUlitakiwa uchukue hiyo zawadi yako aliyokununulia ya salawali na kyupi alafu usepe nazo mazima
I'm not a Kurya, I'm 100% a Zanaki, Makuwa and Tutsi.πππ daah sio poa huyu ni mkurya itakua hilo jazba lake sio powa kbsa
Hahahaaa. Wanatibua wenyewe kisha eti wanaenda kuombewa na hela juu wanatoa sadaka ili maombi yao yakubalike. 'Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"Amezingua sana, halafu jumapili atakwenda kwa mwamposa kuombewa ili apate mchumba.
Aaah!!! Sawa sawa mkuu ungekua mkurya ungekua balaa zaidi πππI'm not a Kurya, I'm 100% a Zanaki, Makuwa and Tutsi.
Mbona huelewekiI'm not a Kurya, I'm 100% a Zanaki, Makuwa and Tutsi.
Wanaoeleweka zaidi Kwako ni Wajumbe wa CCM waliokutosa Juzi kukupitisha Kugombea Ubunge wa EALA na wale Wajumbe wa Kawe waliokupa ile Kura yako Moja uliyoipata.Mbona hueleweki View attachment 2353951
Mwambie apige magoti umuongoze sala ya toba. Akisha sema AMINA, kula mzigo, Tukuyu hainaga makomboSielewi mda huu tumetoka kugombana, huyu ni mchumba wangu nanimke wangu mtarajiwa, nilikuwa safari South Sudan nimerudi Leo kwakushtukiza maana nilimwambia narudi kesho kutwa.
Sasa nilipo fika nilimkuta kibarazani anapika aliponiona tu akahamaki uzuri mlango wa chumba chake ulikuwa wazi mimi nikafungua bila hodi nikaingia ila Kuna jambo jipya nimekuta suruali ya kitambaa na boksa, hizi nguo sio zangu nawala Sina nguo kwenye chumba cha mpenzi wangu.
Nina mashaka walikuwa wanakulana na huyu jamaa huenda kaenda kuoga bafuni ila aliposikia makerere kasepa.
Namuuliza mke wangu amesema ameninunulia mitumba eti. Ivi kweli Kuna boxer ni mitumba jamani. Haina shida mimi nimempa zawadi ya asali niliyonunua Juba nimeondoka kwa Amani nimefuta namba zake.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Mwambie apige magoti umuongoze sala ya toba. Akisha sema AMINA, kula mzigo, Tukuyu hainaga makombo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Boxa za mtumba zina ukoko uliikagua?