Nimekuta boksa na suruali kwenye chumba cha mpenzi wangu

Yaaa! Boksa za mtumba zipo ndugu. Vaa maisha yaendelee. Huyo demu anakufaa Sana maana anajali.
 

Weka boksa na suruali yako ili naye akija aikute​

 
Hiyo boksa nyeusi ni yangu na hiyo suruali ya kitambaa ni yangu pia mm huwa navaa mayenu kama DEFAO.
Sikuwepo siku ile unakuja,nililala siku tatu nyuma..
Kwa hiyo umesusa unajiachia mazima nije kujiachia kwa raha zangu?
 
Mzee una nyuzi kila siku mpya.
 
Ningekuwa mimi ningekunya hapo kitandani na kukojoa kisha nasepa mazima.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo "hawara mwenza" kakimbia huku kajifunga kanga ya hawara yenu?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…