Nimekuta boksa na suruali kwenye chumba cha mpenzi wangu

We bora nidanganye danganye danganye tuu
Ukinambia ukweli ntaumia
Hata nikikukuta chumbani mtupu umekombatiwa
We bora nidanganye danganye danganye tuu
Ukinambia ukweli ntaumia
Si unajua kwako Sijiwezi me siwezi ntalia

Baby nakupenda ndio
Sikliza moyo wangu unavyokwenda mbio (yaani kasi)
Usinipe wasiwasi nighaasi
Ila ukinitenda sio
Nakutaka wewe tu baby boo haya
Nidanganye tuu uwe true lier
Ila ni vibaya ukinitupa kwenye fire
Nipige kama kinanda na me niimbe kama kwaya
Kitaa kuna tetesi eti machizi kibao wanakuona mwepesi
Sihitaji ukweli baby please
Sitanuna hata nikikufuma na KGT
Niambie kaka yako tu basi
Love inanipa stimu kama nyasi
Japo nipo fit kama nyati
Kwako sitaki vita nipo peace mpaka basi​
 
Hahahahah na WAKATI ye mwenyewe ,Kesha wakaza wasudani uko alikotoka... hahahahah [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…