Kuna baadhi ya Wanaume natamani ningekuwa nawajua ili kutokana na Utoto pamoja na Upopoma wenu niwe nawazaba tu Makofi au hata Nawapiga tu Ngumi kabisa.
Hivi kweli kwa Maisha ya sasa kuna Mtu aliye na Mahusiano ambaye akisafiri muda mrefu Yeye huko aliko Hakazi au Hakaziwi aliyemuacha Nyumbani Kwake?
Na mnachonikera zaidi Watu kama Wewe ( uliyekuwa Safarini huko Sudan ) ndiyo Umekaza mpaka basi ila ukisikia au kujua tu Mkeo / Demu wako nae Anakazwa huwa mnajifanya Kufura na hata Kuwadhuru wakati ni Jambo la Kawaida mno kwa Sisi Wanaume Wachache tunaojitambua kutoka hapa nchini Tanzania.
Usikaziwe Mpenzio Wewe nani?