Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
I am a man with walking stick.Sawa na wewe siku ukikuta hivi vitu kwa bwana wako usije kuposti huku dada yangu
Mkeo agawe jicho usijue mkuu? Utakuwa mwanaume wa aina gani, jicho lililogawiwa halifichiki hata kidogo.Unakuta mtu anagawa jicho ww ndani kukupa anaogopa utamchuliaje so bora akatoe nje..
bt tusiwe na fikra mbovu fanya kwanza uchunguzi.
Mkuu mimi kuna vitu siwezi kuvumilia, hilo ni dakika hiyo hiyo namuweka kati naanza kuhoji, majibu yasiyoeleweka nauwasha moto wa kufa mtu.Koromeo lako ni kama la Dragon eeh
NAKAZIA,SIO KWELIsi kweli, you'r gosping, Hakika sio kweli, wenye wake tukiona hivo tunafaham reaction zetu, sio hizo zako. Sio kwel nasema
Kusema kweli hata mim kifua cha kukaa na lidude zaid ya dk 30 siwez tena mimi mwembamba sitak kukonda kwa kweliMkuu mimi kuna vitu siwezi kuvumilia, hilo ni dakika hiyo hiyo namuweka kati naanza kuhoji, majibu yasiyoeleweka nauwasha moto wa kufa mtu.
Sijui mleta mada anapataje usingizi kwa hali hiyo, kweli watu tunatofautiana.Kusema kweli hata mim kifua cha kukaa na lidude zaid ya dk 30 siwez tena mimi mwembamba sitak kukonda kwa kweli
Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta conom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Chai chai chai chaiiiiiiiiiiiiiiiiiiii......Habari wanajamvi, mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta conom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu.
#depression is real
Rough Rider??Labda kagaiwa oficin...zipo ofisi mnagaiwa...au labda anampelekea mtu...uliza
Alafu akitoka hapo anadondoka presha imeshuka.Sijui mleta mada anapataje usingizi kwa hali hiyo, kweli watu tunatofautiana.