Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

Acha utoto mkuu muulize au mkeo kakushika MASIKIO yaan unamwogopa KUJIUA SIO SOLUTION
 
Asante sana ila nahitaji kuwa sawa kidogo kiakili nikijua kama alinichit nitaua

Dunia inazunguka usiombe yakukute tema mate chini
una ndoa ya miaka 4, nimeishi na mwanamke miaka 26 sasa, we ni kijana wangu, issue sio yanikute, issue hapa ni maamzi, haiwezekani umkute na vitu hivo haraf ufikiri ni vya rafiki yake imevisahau, ok hata kama ndivo hivo, what are their ties if it's true on your ideal proposal???

Your are not authoritative, your are not decision maker, your poor married man, tuishie hapo
 
Labda kagaiwa oficin...zipo ofisi mnagaiwa...au labda anampelekea mtu...uliza.
Tufanye sawa,Kondom alipewa kazini..Na kilainishi (KY) nacho anapewa kazini ili kulainisha mfereji mzigo Ukiwa unakuja usikwame kwame? Unamfanya mwanaume mwenzio azidi kuwa zombi mkuu.Mwambie tu ukweli mkewe anatoa huduma nje.
 
Unakuta mtu anagawa jicho ww ndani kukupa anaogopa utamchuliaje so bora akatoe nje..


bt tusiwe na fikra mbovu fanya kwanza uchunguzi.
 
Habari wanajamvi mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta conom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu
#depression is real
Ukimuona mwanamke ni yeye na condom, condom na yeye usijisumbue kabisa kumuuliza muache tafuta mwingine
 
Umepataje nguvu ya kuja kupost humu?
 
Habari wanajamvi mimi na mke wangu tuna miaka 4 ya ndoa tangu mwanzo wa mahusiano yetu sijawahi kuona dalili zozote kwamba ananisaliti na familia yetu ikiwa inaishi kwa amani na furaha sasa mwezi uliopita wakati natafuta earpods katika mkoba wake wa kazini nikakuta conom ya kiume aina ya rough rider pakti 2 sasa najiuliza zimefata nini kwenye begi la mke wangu japo bado sijamuuliza Roho inasita au rafiki yake wa kike alizisahau bahati mbaya nakosa kuelewa wanajamvi natamani kujiua nikifikiria mtoto wetu nguvu zinaisha naombeni ushauri wenu
#depression is real
Mpongeze anajali afya yako na yake
 
Back
Top Bottom