DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
20 K gawanya kwa 5 K
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukweli mkuu..ila siyo mbaya akapiga evaluation kwanza ajue wapi tatizo.unaweza kuta jamaa hajali yeye tungi, halali ndani vituko kila kukicha,, hela ya matumizi anatoa anapojiskia..ataacha kweli kukutana na mesej kama hizo hawa wanawake wa kileo?Wanawake woooote hawa lakini bado unamng'ang'ania huyo mkeo asiye mwaminifu? Piga chini anza upya. Ni ngumu sana kwa mwanaume anayejiamini kumsamehe mwanamke msaliti. Aidha, mwanamke anayechepuka huwa haachi. Hawa wanaokushauri sijui eti ukae naye kwa upendo muongee abadilike hawakutakii mema. Mwanamke mzinzi haachi kamwe. She will be as faithful as her options. Akipata upenyo anafanya yake. Wewe utabaki na msongo wa mawazo for the rest of your marriage. Nini kujitesa wakati wanawake wamejaa all over the place. Gangamaa piga chini akagongwe kwa amani mtaani huko. Wewe ugharamie halafu mabwege wengine wale kilaini tu? Upuuzi.
Dah! "K" ni k bwanani ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Ha ha ha ha ha haMke wako ameanza kupeleka mchanga nje ili akachenjue thahabu. Fanya mpango ununue Smelter ili mambo yaishe.
Kuna ukweli mkuu..ila siyo mbaya akapiga evaluation kwanza ajue wapi tatizo.unaweza kuta jamaa hajali yeye tungi, halali ndani vituko kila kukicha,, hela ya matumizi anatoa anapojiskia..ataacha kweli kukutana na mesej kama hizo hawa wanawake wa kileo?
Duh wewe kweli kipofu mpaka hapo unaomba ushauri mjomba ngoja sms ya pili itakayosema t mbona tamu sana labda utamaindi bro.ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HIYO K ITAKUWA INAMAANISHA KACHORI MKUU
laki 3Hivi DNA ni sh ngap mkuu?
roho inauma balaa natafuta tu ushahidi wa kutosha alafu nimuoneshe habari